Recent content by Genius Man

  1. Genius Man

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    sijakupa fact ya ukristo tu nimekupa na sayansi kifo ni usingizi ni sawa na kulala kwasababu hauogi hauli damu inaganda kisayansi hapo mwili huaribika lakini wewe unakuwa umelala ndio kifo. Inamaana unategemea mtu akifa anenda kuzimu inamaana hafi hebu jaribu kufikiria nje ya box fuata fact...
  2. Genius Man

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    sijakupa fact ya ukristo tu nimekupa na sayansi kifo ni usingizi ni sawa na kulala kwasababu hauogi hauli damu inaganda kisayansi hapo mwili huaribika lakini wewe unakuwa umelala ndio kifo. Inamaana unategemea mtu akifa anenda kuzimu inamaana hafi hebu jaribu kufikiria nje ya box fuata fact...
  3. Genius Man

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    Unajua walio mbinguni wanaweza kuja duniani kama ameenda mbinguni mngemuona akiwajia kama malaika lakini mbinguni sio sehemu ya wafu ili mtu aende mbinguni lazima awe kiumbe hai. yesu ni mfano alienda mbinguni akiwa hai
  4. Genius Man

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    source? trust me broo Hakuna maelezo ya kimaandiko au kiushahidi nani uliona roho yake inasafiri ? mkuu upo serious roho inasafiri unajua maana banadamu ni nini hebu soma kitabu cha mwanzo cha uumbaji kisha kasome na sayansi hivyo vitu vya kusafiri kwa roho umetoka navyo wapi ?. mimi nina...
  5. Genius Man

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia ? kama sio hivyo basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo. Nendeni makaburini mkawaangalis kama wamefufuka na hawapo makaburini ? kama wapo.basi ni.uongo mmedanganywa kwani mbinguni ni sehemu ya wafu au ya...
  6. Genius Man

    Kama unafunga mpaka ule daku au kwasababu ni mwezi wa mfungo au usifike na watu basi unashinda na njaa

    Kama unafunga mpaka ule daku au kwasababu ni mwezi wa mfungo au usifike na watu basi unashinda na njaa. Kuna hawa watu wanafunga na wakiona watu wanakula wanakasirika au wanawapiga na kuwauwa basi hao wanahinda na njaa wamebadilisha mda wa kula. Yule anaye funga kwasababu ya kuwaombea...
  7. Genius Man

    Ukimya wa wakuu wa majeshi juu ya mauaji na utekaji wa watanzania inatupa picha kuwa hatuna viongozi sahihi kwenye jeshi

    Ukimya wa wakuu wa majeshi juu ya mauaji na utekaji ya halaiki ya watanzania inatupa picha kuwa hatuna viongozi sahihi kwenye jeshi, wanaua nchi. Mambo haya hayavumiliki wamesahau wajibu wao wanajifanya vipofu sijui wanasiasa wapumbavu na washenzi walioingia juzi juzi tu hapa wamewaloga au...
  8. Genius Man

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni. Kwa hii serikali haramu sishangia kusikia star tv imekataliwa iuuzwa kwa wahuni na hakuna utawala wa kisheria ndio sababu kuu ya kuanza kuiba na...
  9. Genius Man

    Tuliokwama Iran, tunahitaji ndege Ije kutuchukua

    Hakuna ndege inayoingia iran wala kutoka hata Qatar na saudia ndege zimepungua haziendi na watu wamekimbia makombora, angala la iran limejawa na makombora jaribu kutokea mipakani
  10. Genius Man

    Tanzania yajibu Baraza la Haki la Umaja wa Mataifa yalitokea Oktoba 29, 2025. Hatua zilizochukuliwa zililenga kuzuia vurugu, kulinda utulivu

    Hata kwa kufanya hivyo hadhabu suo kifo ni kunyume cha sheria sikuna mahakama, nikikwambia watu wame uwawa kwasababu hawamtaki samia na sio visingizo vya vurugu utabisha ? hadi watoto amewapa kesi za uhaini
Back
Top Bottom