Recent content by generationn Z

  1. generationn Z

    Tila tila ndio mpango mzima kwa wadada sasa hivi, kila mmoja wao anapenda kuwa nayo

    Ungeweka na picha ya huo mchirizi na sisi tuujue mkuu🙏🏻
  2. generationn Z

    Hii nimeiona Tanzania, ripoti ya vifo vya watanzania 518 tu inatolewa na makofi yanapigwa, tumeanza lini utaratibu wa kupiga makofi msibani?

    Me pia jana nilisikitika sana yani yule mwanahabari wa BBC alipokuwa akimhoji kabudi,, majibu ya kabudi yalikuwa ni simple simple sana hayakuakisi uzito wa tatizo hata kidogo
  3. generationn Z

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Makosa ni yaleyale hadi leo TUNASHINDWA KULEKEBISHA VYA KWETU TUNAISHIA KUTUMIA VYA WAGENI
  4. generationn Z

    What makes you happy?

    😀😀😀
  5. generationn Z

    PICHA: Hii siku rafiki zetu walipoteza maisha kama kuku PUMZIKENI KWA AMANI

    Swali hili kwa sisi watanzania jibu lake bado ni kitendawili maana mpaka sasa nchi inajiendea tu bora liende
  6. generationn Z

    Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Kumbe inaeffect hadi kwenye udongo na si mimea tu
  7. generationn Z

    What makes you happy?

    Hapo ndo patamu
  8. generationn Z

    Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Inaua majani aina gani? au ni aina yoyote ya mmea
  9. generationn Z

    Asilimia 75% Ya maisha Yangu kuharibika ni kwasababu ya kukosa mshauri. Nakuomba wewe usiniangushe

    Hapan mkuu nimejikuta nafurahi kusikia kwamba huwez fanikiwa ulipozaliwa
  10. generationn Z

    What makes you happy?

    Mvua ikinyesha binafsi najisikia raha mno
Back
Top Bottom