Recent content by generationn Z

  1. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Ukifikisha miaka 35-40 huna mbele wala nyuma, Amkeni nyie umri umeenda

    Ukwel mchungu huu
  2. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Usipime ubovu wako kwa kujilinganisha na ubovu wa mbovu zidi yako
  3. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Kuamini ndoa ni Mpaka ifungwe kanisani au Msikitini ni dalili ya utumwa na uelewa mdogo kwa watu

    Hatakiwi kalazimishwa na kushawishiwa tu ili biashara ipate wateja Vyombo vya moto ni aina mpya ya usafili ambao faida ake iko wazi... ni biashara inayotoa manufaa kwa pande zote mbili(mtumiaji /mtengenezaji)
  4. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Afariki ghafla akiwa na mpenzi wake kwenye nyumba ya wageni "Guest House" huko mkoani Mara

    Hizi kesi za kufia guest mbna zinaanza kushamili sana
  5. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Mnyororo wa Umaskini: Jela ya Kifamilia na Ukoo inavyozima Ndoto nyingi

    Mbna inawezekan cha msingi kubali lawama na uwakatae hao ndugu wote ujipange ww km ww kwanza
  6. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Kwa bajeti ya milioni 3, Pikipiki gani anafaa kwa maeneo ya milimani?

    Fekon 125 achan na 150 125 ina power balaa kwenye mlima afu uwe na mzigo ni km king lion alafu si nyepes kupinda mkas i
  7. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    𝗞𝘂𝘇𝗮𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗯𝗼𝗻𝗴𝗼 𝗻𝗶 𝗛𝗮𝘀𝗮𝗿𝗮 𝗻𝗼 1, 𝗛𝗮𝘀𝗮𝗿𝗮 𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲 𝘇𝗶𝘁𝗮𝘁𝗲𝗴𝗲𝗺𝗲𝗮 𝗳𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗮 𝘂𝗹𝗶𝘆𝗼𝘇𝗮𝗹𝗶𝘄𝗮, 𝗺𝗮𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗿𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗹𝗲𝘇𝗶 𝘂𝘁𝗮𝗸𝗮𝘆𝗼𝗹𝗲𝗹𝗲𝘄𝗮
  8. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Watu hudhania kila mzee ni wa kuomba ushauri na guidance, wengi wao wanaweza kuchefuka na hatua kubwa uliyopiga ambayo wao katika umri huo hawakugusa

    𝗪𝗮𝘇𝗲𝗲 𝘄𝗮 𝗯𝘂𝘀𝗮𝗿𝗮 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗯𝗮𝗸𝗶𝗮 𝘄𝗮𝗰𝗵𝗮𝗰𝗵𝗲 𝘀𝗮𝗻𝗮
  9. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Usalama wa nchi(national intelligence) unategemea usalama wa familia (Family intelligence);

    Diamond ni hasara kubwa kwa taifa ila wengi hawajui
  10. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Barua ya Wazi kwa Watu wenye umri kuanzia miaka 40 kuendelea

    😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
  11. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Usalama wa nchi(national intelligence) unategemea usalama wa familia (Family intelligence);

    Kuna baadhi ya hoja hapo juu nakubaliana na ww kabisa binafsi nimeshaona ktk mziki tayari taifa limepotea maana wanacholishwa vijan hakin maan na hakiendan na utamaduni/maadili mema Mfano msanii mkubwA km diamond angekuw chachu ya kuimba nyimbo zenye maadili hakika angeiokoa hii jamii lakn...
  12. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Safari ya mtu mweusi bado ni ndefu yaani hasa hv mataifa mengi yanalisha watu wao technologia sisi tunalishana dini na ushirikina🤔🤔
  13. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Aisee utajiri sio kitu rahisi kumbe

    Kuna wimbo unaimba 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘂𝗺𝗲 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 leo nimeukumbuka
  14. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Kila nikilala najikuta nimegeuka upande wa miguuni, nawaza nini kinanitokea kila siku?

    1-funga camera ya siri na usimwambie mtu 2-jaribu leo kulala huo upande wa miguuni uone km pia utarudishwa upande uliohuama 3-fanya utafiti juu ya mkeo huenda anausika ktk hilo Nitarudi kupata mrejesho wako
  15. generationn Z

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kulala fanya mambo haya

    Yote hayo yanawezekan pindi tu uko na maelewano mazuri na mwenza wako au familia kiujumla na, uwe ktk mazingira bora, barabara zipitike, maji ya safi na salama, na afya njema
Back
Top Bottom