Me nikimpata huyo mbna shwari
Kwanza Nikwambie tu huyo ndo mtoto sasa... chakufanya nenda kawaonge walimu pesa ili wamruhusu awe anasoma siku 3 kwa wiki zile mbili mtafutie fani yeyote unayoona itamsaidia hata km ni uko veta we peleka ili kichwa kuanze kula vitu vikubwa na venye maana ...
Kiufupi technology ni habari nyingne ni km inataka kumnyang'anya mwanadamu kile alichoamin bila yeye hakun kitakacho fanyika... tech inaanza kuiba maufund ya binadamu taratibu japo si kwa ubaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.