Staafisha watumishi wenye miaka 45 na zaidi,halafu anzisha ajira za mikataba ya miaka mitano mitano!

Staafisha watumishi wenye miaka 45 na zaidi,halafu anzisha ajira za mikataba ya miaka mitano mitano!

Mchakato wa kuajiri ni gharama. Na ukishaajiri unawajibika kuwapa mafunzo watumishi wapya ili kuendana na mazingira ya kazi.

Pia kwa sasa kuna mabadiliko kila mara ambayo pia ili kuendana nayo ni gharama. Sasa waajiri hawatakuwa tayari kumuandaa mtu ambaye atakuwepo kwa muda wa miaka mitano halafu waingie gharama zingine tena.
Wameshandaliwa wakiwa chuoni!!kutibu,kufundisha na n.k mtu alishaandaliwa na kufanya field usimamizi thabiti plus uwajibikaji ndio njia pekee kumbuka ess inaweza pia kutumika ku monitor task ya mtumishi!
 
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!

Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera mbovu za ajira ndio zimetufikisha tulipo,unawezaje kumuajiri mtumishi ajira ya maisha !?wakati Kuna wimbi la vijana wasomi wanahitimu kila mwaka!!?

Inajulikana kabisa mtumishi mwenye miaka zaidi ya 45 performance yake hushuka kutokana na majukumu mengi ya kifamilia na uchovu wa muda mrefu plus magonjwa yasiyoambukiza,wastaafishe walipe mafao Yao waendeleze ujasiria mali ili kutoa nafasi kwa damu changa yenye ari ya mapambano ya kutoa huduma kwa jamii!!
Sasa basi,baada ya kuwastaafisha utawaajiri vijana Kwa mikataba ya miaka mitano mitano,boresha mishahara yao walau take home ya laki Saba Kwa mwezi!ili wapate mitaji ya kutosha baada ya kumakiza mikataba Yao utawaajiri wengine!!

Tulikaa tukafanya hesabu zifuatazo;-
700000×12 (mwaka mmoja)=8,400,000×5(miaka mitano ya mkataba wa ajira) =42,000,000 .

Kama kijana atatumia walau nusu ya million arobaini na mbili kama matumizi kipindi cha mkataba wake,zinazobaki atajiajiri na hiyo itachochea huo uchumi kukua kila baada ya miaka mitano!!

Karibu nusu ya watumishi wanna miaka 45 na zaidi,itasaidia pia serikali ku save fedha za mishahara coz wenye umri huo wengi na vyeo vikubwa na mishahara mikubwa kuliko ajira mpya,itasaidia serikali kupata fedha Kwa ajili ya matumizi mengine!!!!

Badili sera ya ajira comrade,kilichopo sasa hakina tija,na hao watakaobaki waliochini ya umri 45 walioajiriwa Kwa mfumo wa ajira wa maisha nao wakifika 45 nao wastaafishwe waajiriwe wapya ,Hadi utakapo maliza awamu yako watumishi wote watakua chini ya ajira ya mkataba wa miaka mitano mitano!

Exception itatokea Kwa wale wenye performance ya zaidi ya 95% wanaweza kuongezewa mkataba mwingine kama motisha kwao mwisho iwe miaka 10.

Mafao ya kuwastaafisha unaweza utayapata kwa kushusha mishahara ya wanasiasa kama mpanho KAZI wa muda mfupi,badala ya million 18 utawalipa walau million kumi kwa mwezi hizo million 8 mara idadi ya wabunge karibu 300 ni fedha zinazo tosha kabisa kulipa mafao!!

Naamini hili seke seke la ICC linaweza kukupa mwanya wa kuvunja bunge na serikali iliyopo na ikapatikana serikali ya mpito ya katiba mpya,fedha zilizokua zinalipwa mshahara wabunge na mawaziri zitumie ipasavyo kipindi hicho kufanikisha hilo!!

Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako!!

Naomba unikumbuke walua niwe mshauri wako wa karibu kwenye sekta nyeti ya ajira na Tamisemi!!

Kama hunijui,watafute watakujuza,hao wakitaka kunipata watanipata tu Kwa Nia njema na sio kivile kama ambavyo imekuwa desturi Yao sasa!!

Kazi na utu,tunasonga mbele!
Ili ufanisi ushuke!?...boresha ufuatiliaji kwa pepmis staff walete reports
 
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!

Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera mbovu za ajira ndio zimetufikisha tulipo,unawezaje kumuajiri mtumishi ajira ya maisha !?wakati Kuna wimbi la vijana wasomi wanahitimu kila mwaka!!?

Inajulikana kabisa mtumishi mwenye miaka zaidi ya 45 performance yake hushuka kutokana na majukumu mengi ya kifamilia na uchovu wa muda mrefu plus magonjwa yasiyoambukiza,wastaafishe walipe mafao Yao waendeleze ujasiria mali ili kutoa nafasi kwa damu changa yenye ari ya mapambano ya kutoa huduma kwa jamii!!
Sasa basi,baada ya kuwastaafisha utawaajiri vijana Kwa mikataba ya miaka mitano mitano,boresha mishahara yao walau take home ya laki Saba Kwa mwezi!ili wapate mitaji ya kutosha baada ya kumakiza mikataba Yao utawaajiri wengine!!

Tulikaa tukafanya hesabu zifuatazo;-
700000×12 (mwaka mmoja)=8,400,000×5(miaka mitano ya mkataba wa ajira) =42,000,000 .

Kama kijana atatumia walau nusu ya million arobaini na mbili kama matumizi kipindi cha mkataba wake,zinazobaki atajiajiri na hiyo itachochea huo uchumi kukua kila baada ya miaka mitano!!

Karibu nusu ya watumishi wanna miaka 45 na zaidi,itasaidia pia serikali ku save fedha za mishahara coz wenye umri huo wengi na vyeo vikubwa na mishahara mikubwa kuliko ajira mpya,itasaidia serikali kupata fedha Kwa ajili ya matumizi mengine!!!!

Badili sera ya ajira comrade,kilichopo sasa hakina tija,na hao watakaobaki waliochini ya umri 45 walioajiriwa Kwa mfumo wa ajira wa maisha nao wakifika 45 nao wastaafishwe waajiriwe wapya ,Hadi utakapo maliza awamu yako watumishi wote watakua chini ya ajira ya mkataba wa miaka mitano mitano!

Exception itatokea Kwa wale wenye performance ya zaidi ya 95% wanaweza kuongezewa mkataba mwingine kama motisha kwao mwisho iwe miaka 10.

Mafao ya kuwastaafisha unaweza utayapata kwa kushusha mishahara ya wanasiasa kama mpanho KAZI wa muda mfupi,badala ya million 18 utawalipa walau million kumi kwa mwezi hizo million 8 mara idadi ya wabunge karibu 300 ni fedha zinazo tosha kabisa kulipa mafao!!

Naamini hili seke seke la ICC linaweza kukupa mwanya wa kuvunja bunge na serikali iliyopo na ikapatikana serikali ya mpito ya katiba mpya,fedha zilizokua zinalipwa mshahara wabunge na mawaziri zitumie ipasavyo kipindi hicho kufanikisha hilo!!

Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako!!

Naomba unikumbuke walua niwe mshauri wako wa karibu kwenye sekta nyeti ya ajira na Tamisemi!!

Kama hunijui,watafute watakujuza,hao wakitaka kunipata watanipata tu Kwa Nia njema na sio kivile kama ambavyo imekuwa desturi Yao sasa!!

Kazi na utu,tunasonga mbele!
Wazo zuri
 
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!

Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera mbovu za ajira ndio zimetufikisha tulipo,unawezaje kumuajiri mtumishi ajira ya maisha !?wakati Kuna wimbi la vijana wasomi wanahitimu kila mwaka!!?

Inajulikana kabisa mtumishi mwenye miaka zaidi ya 45 performance yake hushuka kutokana na majukumu mengi ya kifamilia na uchovu wa muda mrefu plus magonjwa yasiyoambukiza,wastaafishe walipe mafao Yao waendeleze ujasiria mali ili kutoa nafasi kwa damu changa yenye ari ya mapambano ya kutoa huduma kwa jamii!!
Sasa basi,baada ya kuwastaafisha utawaajiri vijana Kwa mikataba ya miaka mitano mitano,boresha mishahara yao walau take home ya laki Saba Kwa mwezi!ili wapate mitaji ya kutosha baada ya kumakiza mikataba Yao utawaajiri wengine!!

Tulikaa tukafanya hesabu zifuatazo;-
700000×12 (mwaka mmoja)=8,400,000×5(miaka mitano ya mkataba wa ajira) =42,000,000 .

Kama kijana atatumia walau nusu ya million arobaini na mbili kama matumizi kipindi cha mkataba wake,zinazobaki atajiajiri na hiyo itachochea huo uchumi kukua kila baada ya miaka mitano!!

Karibu nusu ya watumishi wanna miaka 45 na zaidi,itasaidia pia serikali ku save fedha za mishahara coz wenye umri huo wengi na vyeo vikubwa na mishahara mikubwa kuliko ajira mpya,itasaidia serikali kupata fedha Kwa ajili ya matumizi mengine!!!!

Badili sera ya ajira comrade,kilichopo sasa hakina tija,na hao watakaobaki waliochini ya umri 45 walioajiriwa Kwa mfumo wa ajira wa maisha nao wakifika 45 nao wastaafishwe waajiriwe wapya ,Hadi utakapo maliza awamu yako watumishi wote watakua chini ya ajira ya mkataba wa miaka mitano mitano!

Exception itatokea Kwa wale wenye performance ya zaidi ya 95% wanaweza kuongezewa mkataba mwingine kama motisha kwao mwisho iwe miaka 10.

Mafao ya kuwastaafisha unaweza utayapata kwa kushusha mishahara ya wanasiasa kama mpanho KAZI wa muda mfupi,badala ya million 18 utawalipa walau million kumi kwa mwezi hizo million 8 mara idadi ya wabunge karibu 300 ni fedha zinazo tosha kabisa kulipa mafao!!

Naamini hili seke seke la ICC linaweza kukupa mwanya wa kuvunja bunge na serikali iliyopo na ikapatikana serikali ya mpito ya katiba mpya,fedha zilizokua zinalipwa mshahara wabunge na mawaziri zitumie ipasavyo kipindi hicho kufanikisha hilo!!

Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako!!

Naomba unikumbuke walua niwe mshauri wako wa karibu kwenye sekta nyeti ya ajira na Tamisemi!!

Kama hunijui,watafute watakujuza,hao wakitaka kunipata watanipata tu Kwa Nia njema na sio kivile kama ambavyo imekuwa desturi Yao sasa!!

Kazi na utu,tunasonga mbele!
Mikataba miaka mi tatu tatu tu hii itaongeza umakini na kuzuia mikopo ya anasa wanayo kopa na kukopeshwa wafanyakazi wa serikali.
 
Daktari aliyefanya kazi kwa miaka 20 uje umlinganishe na kijana aliyeajiriwa Jana!?

Hata Mimi mwalimu mwenye uzoefu wa 20 yrs huwezi nilinganisha na kijana aliyeajiriwa juzi, utakuwa uhayawani mkubwa sana.

Pambana kujitafutia riziki,kustaafisha watumishi at 45 sio suluhu ya wewe kupata ajira
Hajamaanisha kwamba huyo fresh graduate anakua mbadala wa mstaafu.
 
sijasoma sana lakini nitasoma labda tungepishana Kidogo kwenye maoni.

Angalau Mtu akifanya kazi miaka 20 ilikuwa inatosha kabisa vijana wampokee. Na si umri wa miaka 40 kama ulivyosema.
 
Walioajiriwa wamemaindi. Wanaogopa kuja mtaani kujiajiri halafu kutwa nzima kuwaponda vijana. Vijana ni wavivu. Vijana wanachagua kazi. Vijana hawaoni fursa za kujiajiri. Sasa tumekuelewa, achia ofisi uje kujiajiri. Blah blah kibao
 
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!

Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera mbovu za ajira ndio zimetufikisha tulipo,unawezaje kumuajiri mtumishi ajira ya maisha !?wakati Kuna wimbi la vijana wasomi wanahitimu kila mwaka!!?

Inajulikana kabisa mtumishi mwenye miaka zaidi ya 45 performance yake hushuka kutokana na majukumu mengi ya kifamilia na uchovu wa muda mrefu plus magonjwa yasiyoambukiza,wastaafishe walipe mafao Yao waendeleze ujasiria mali ili kutoa nafasi kwa damu changa yenye ari ya mapambano ya kutoa huduma kwa jamii!!
Sasa basi,baada ya kuwastaafisha utawaajiri vijana Kwa mikataba ya miaka mitano mitano,boresha mishahara yao walau take home ya laki Saba Kwa mwezi!ili wapate mitaji ya kutosha baada ya kumakiza mikataba Yao utawaajiri wengine!!

Tulikaa tukafanya hesabu zifuatazo;-
700000×12 (mwaka mmoja)=8,400,000×5(miaka mitano ya mkataba wa ajira) =42,000,000 .

Kama kijana atatumia walau nusu ya million arobaini na mbili kama matumizi kipindi cha mkataba wake,zinazobaki atajiajiri na hiyo itachochea huo uchumi kukua kila baada ya miaka mitano!!

Karibu nusu ya watumishi wanna miaka 45 na zaidi,itasaidia pia serikali ku save fedha za mishahara coz wenye umri huo wengi na vyeo vikubwa na mishahara mikubwa kuliko ajira mpya,itasaidia serikali kupata fedha Kwa ajili ya matumizi mengine!!!!

Badili sera ya ajira comrade,kilichopo sasa hakina tija,na hao watakaobaki waliochini ya umri 45 walioajiriwa Kwa mfumo wa ajira wa maisha nao wakifika 45 nao wastaafishwe waajiriwe wapya ,Hadi utakapo maliza awamu yako watumishi wote watakua chini ya ajira ya mkataba wa miaka mitano mitano!

Exception itatokea Kwa wale wenye performance ya zaidi ya 95% wanaweza kuongezewa mkataba mwingine kama motisha kwao mwisho iwe miaka 10.

Mafao ya kuwastaafisha unaweza utayapata kwa kushusha mishahara ya wanasiasa kama mpanho KAZI wa muda mfupi,badala ya million 18 utawalipa walau million kumi kwa mwezi hizo million 8 mara idadi ya wabunge karibu 300 ni fedha zinazo tosha kabisa kulipa mafao!!

Naamini hili seke seke la ICC linaweza kukupa mwanya wa kuvunja bunge na serikali iliyopo na ikapatikana serikali ya mpito ya katiba mpya,fedha zilizokua zinalipwa mshahara wabunge na mawaziri zitumie ipasavyo kipindi hicho kufanikisha hilo!!

Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako!!

Naomba unikumbuke walua niwe mshauri wako wa karibu kwenye sekta nyeti ya ajira na Tamisemi!!

Kama hunijui,watafute watakujuza,hao wakitaka kunipata watanipata tu Kwa Nia njema na sio kivile kama ambavyo imekuwa desturi Yao sasa!!

Kazi na utu,tunasonga mbele!
Kwa kutumia sheria gani? Au mmezoea lawlessness?
 
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!

Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera mbovu za ajira ndio zimetufikisha tulipo,unawezaje kumuajiri mtumishi ajira ya maisha !?wakati Kuna wimbi la vijana wasomi wanahitimu kila mwaka!!?

Inajulikana kabisa mtumishi mwenye miaka zaidi ya 45 performance yake hushuka kutokana na majukumu mengi ya kifamilia na uchovu wa muda mrefu plus magonjwa yasiyoambukiza,wastaafishe walipe mafao Yao waendeleze ujasiria mali ili kutoa nafasi kwa damu changa yenye ari ya mapambano ya kutoa huduma kwa jamii!!
Sasa basi,baada ya kuwastaafisha utawaajiri vijana Kwa mikataba ya miaka mitano mitano,boresha mishahara yao walau take home ya laki Saba Kwa mwezi!ili wapate mitaji ya kutosha baada ya kumakiza mikataba Yao utawaajiri wengine!!

Tulikaa tukafanya hesabu zifuatazo;-
700000×12 (mwaka mmoja)=8,400,000×5(miaka mitano ya mkataba wa ajira) =42,000,000 .

Kama kijana atatumia walau nusu ya million arobaini na mbili kama matumizi kipindi cha mkataba wake,zinazobaki atajiajiri na hiyo itachochea huo uchumi kukua kila baada ya miaka mitano!!

Karibu nusu ya watumishi wanna miaka 45 na zaidi,itasaidia pia serikali ku save fedha za mishahara coz wenye umri huo wengi na vyeo vikubwa na mishahara mikubwa kuliko ajira mpya,itasaidia serikali kupata fedha Kwa ajili ya matumizi mengine!!!!

Badili sera ya ajira comrade,kilichopo sasa hakina tija,na hao watakaobaki waliochini ya umri 45 walioajiriwa Kwa mfumo wa ajira wa maisha nao wakifika 45 nao wastaafishwe waajiriwe wapya ,Hadi utakapo maliza awamu yako watumishi wote watakua chini ya ajira ya mkataba wa miaka mitano mitano!

Exception itatokea Kwa wale wenye performance ya zaidi ya 95% wanaweza kuongezewa mkataba mwingine kama motisha kwao mwisho iwe miaka 10.

Mafao ya kuwastaafisha unaweza utayapata kwa kushusha mishahara ya wanasiasa kama mpanho KAZI wa muda mfupi,badala ya million 18 utawalipa walau million kumi kwa mwezi hizo million 8 mara idadi ya wabunge karibu 300 ni fedha zinazo tosha kabisa kulipa mafao!!

Naamini hili seke seke la ICC linaweza kukupa mwanya wa kuvunja bunge na serikali iliyopo na ikapatikana serikali ya mpito ya katiba mpya,fedha zilizokua zinalipwa mshahara wabunge na mawaziri zitumie ipasavyo kipindi hicho kufanikisha hilo!!

Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako!!

Naomba unikumbuke walua niwe mshauri wako wa karibu kwenye sekta nyeti ya ajira na Tamisemi!!

Kama hunijui,watafute watakujuza,hao wakitaka kunipata watanipata tu Kwa Nia njema na sio kivile kama ambavyo imekuwa desturi Yao sasa!!

Kazi na utu,tunasonga mbele!
[/QUOTE
naunga mkono hoja Great thinking
 
We jamaa ni mpumbavu kweli. Hicho ulichokisema ni kitu ambacho akiwezekani mtumishi analipwa 900k makato anapokea 700k Matumizi yake kwa mwezi 700k –900k kwenda juu ina maana huyu anatakiwa afanye kazi mpaka siku yake ya mwishi kwahiyo hapo hujatatua tatizo . Ungetoa hoja ya msingi kuwa vijana tusisome kwa lengo la kuajiriwa basi
 
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!

Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera mbovu za ajira ndio zimetufikisha tulipo,unawezaje kumuajiri mtumishi ajira ya maisha !?wakati Kuna wimbi la vijana wasomi wanahitimu kila mwaka!!?

Inajulikana kabisa mtumishi mwenye miaka zaidi ya 45 performance yake hushuka kutokana na majukumu mengi ya kifamilia na uchovu wa muda mrefu plus magonjwa yasiyoambukiza,wastaafishe walipe mafao Yao waendeleze ujasiria mali ili kutoa nafasi kwa damu changa yenye ari ya mapambano ya kutoa huduma kwa jamii!!
Sasa basi,baada ya kuwastaafisha utawaajiri vijana Kwa mikataba ya miaka mitano mitano,boresha mishahara yao walau take home ya laki Saba Kwa mwezi!ili wapate mitaji ya kutosha baada ya kumakiza mikataba Yao utawaajiri wengine!!

Tulikaa tukafanya hesabu zifuatazo;-
700000×12 (mwaka mmoja)=8,400,000×5(miaka mitano ya mkataba wa ajira) =42,000,000 .

Kama kijana atatumia walau nusu ya million arobaini na mbili kama matumizi kipindi cha mkataba wake,zinazobaki atajiajiri na hiyo itachochea huo uchumi kukua kila baada ya miaka mitano!!

Karibu nusu ya watumishi wanna miaka 45 na zaidi,itasaidia pia serikali ku save fedha za mishahara coz wenye umri huo wengi na vyeo vikubwa na mishahara mikubwa kuliko ajira mpya,itasaidia serikali kupata fedha Kwa ajili ya matumizi mengine!!!!

Badili sera ya ajira comrade,kilichopo sasa hakina tija,na hao watakaobaki waliochini ya umri 45 walioajiriwa Kwa mfumo wa ajira wa maisha nao wakifika 45 nao wastaafishwe waajiriwe wapya ,Hadi utakapo maliza awamu yako watumishi wote watakua chini ya ajira ya mkataba wa miaka mitano mitano!

Exception itatokea Kwa wale wenye performance ya zaidi ya 95% wanaweza kuongezewa mkataba mwingine kama motisha kwao mwisho iwe miaka 10.

Mafao ya kuwastaafisha unaweza utayapata kwa kushusha mishahara ya wanasiasa kama mpanho KAZI wa muda mfupi,badala ya million 18 utawalipa walau million kumi kwa mwezi hizo million 8 mara idadi ya wabunge karibu 300 ni fedha zinazo tosha kabisa kulipa mafao!!

Naamini hili seke seke la ICC linaweza kukupa mwanya wa kuvunja bunge na serikali iliyopo na ikapatikana serikali ya mpito ya katiba mpya,fedha zilizokua zinalipwa mshahara wabunge na mawaziri zitumie ipasavyo kipindi hicho kufanikisha hilo!!

Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako!!

Naomba unikumbuke walua niwe mshauri wako wa karibu kwenye sekta nyeti ya ajira na Tamisemi!!

Kama hunijui,watafute watakujuza,hao wakitaka kunipata watanipata tu Kwa Nia njema na sio kivile kama ambavyo imekuwa desturi Yao sasa!!

Kazi na utu,tunasonga mbele!
Mtoa post na Don Namilison mna akili zinaendana.
 
Wanaotaka kuajiriwa wameshaomba kwenye mfumo wa ajira portal!!

Hii itasaidia kuajiri pasipo interview uchwara zile ambazo hazina tija kabisa zaidi ya sarakasi tu za hapa na pale!
 
We jamaa ni mpumbavu kweli. Hicho ulichokisema ni kitu ambacho akiwezekani mtumishi analipwa 900k makato anapokea 700k Matumizi yake kwa mwezi 700k –900k kwenda juu ina maana huyu anatakiwa afanye kazi mpaka siku yake ya mwishi kwahiyo hapo hujatatua tatizo . Ungetoa hoja ya msingi kuwa vijana tusisome kwa lengo la kuajiriwa basi
Ajira za mkataba ndio suluhisho kwa sasa!!kama Kuna haja ya kupandisha mishahara zaidi ya hapo wanaweza!!
 
Back
Top Bottom