Mpe muda, Kama ni mtu wa kutafakari Mambo atajirudi na maisha yataendelea. Hizo ni changamoto tu za mahusiano. Usilazimishe Sana msamaha kwa sasa, Jipeni muda.
Kulikuwa na marafiki wawili wa tangu utotoni, mmoja akanipenda sana Ila kama ilivyo kawaida ya mabinti akaona aibu kuniambia, ikabidi amhadithie huyo rafiki yake ili ujumbe unifikie, aliyetumwa akaanza kujenga mazoea na Mimi na badala ya kufikisha hisia za mwenzake kwangu akajiweka na...
Kama Bado huna mchumba, usiharakishe.
Ukiamua kuoa, Oa mwanamke anaekupenda, sio unaempenda wewe, akikuheshimu na kukujali utamthamini tu.
Dhumuni la ndoa ni kukamilishana katika madhaifu yetu,maana hakuna aliekamilika, ukiona ndoa imedumu ujue kuna mmoja kajifanya fala kumlindia mwenzake...
Hongera Sana mzee wangu, na asante kwa kutushirikisha simulizi hii ya kusisimua na kuelimisha .
Kuna tofauti nyingi Sana nimeziona kati ya sisi vijana wa kisasa na vijana wa zamani, mfano.
1. Yawezekana wengi tumeoana na watu ambao hatukutarajia sababu ya kukata au kukatishwa tamaa na...
Pole Sana ndugu.
Nakushauri nenda hospitali yenye madaktari bingwa na uombe kuonana na Neurologist, atakufanyia uchunguzi na kukupa ushauri mzuri zaidi.
Swala la wingi wa damu kwa uelewa wangu sidhani kama linaweza kukusababishia shida zote hizo, maabara za kawaida huwezi kupata suluhisho...
Pole Sana mkuu, usikate tamaa Mungu atakufanyia wepesi, hayo naamini ni mapito tu. Ombea ndoa yako Sana.
dahh Jamaa sijui kapatwa na nini, wanaume wengine tunatamani wake zetu wangekua kila Siku wanatuambia wana ham na sisi na wanatuhitaji.
Kama hiyo kauli bado inakusumbua, yawezekana ni muda muafaka wa kutafakari upya mahusiano Yetu na kumuomba Mungu akuongoze kufanya maamuzi sahihi.
Nakumbuka wakati nipo chuo kikuu ulitokea mgomo wa wanafunzi wa baadhi ya vyuo, tukasimamishwa masomo. Niliporudi nyumbani Baba yangu alikua...
Ni mtazamo tu.
Ukitaka wapendane usikubali waishi nyumba moja, au Jirani Sana ili kuepuka baadhi ya mikwaruzano. Wakiishi pamoja hata Kama kulikua na Upendo kidogo kuna uwezekano ukapungua au kuisha. Inategemea pia tabia za asili za mke au za Mama Mkwe.
Binafsi mke wangu na Mama yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.