Recent content by Gemini 16

  1. G

    Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Wengine ilituchukua miezi kumi na wiki kadhaa kuja kuuona huu ulimwengu, sijui ni kawaida au vipi, inabidi wenye majibu ya kisayansi watuambie pia. Alafu mkuu kuna ujumbe kule pm.
  2. G

    Msongo wa mawazo nilionao unaweza kunipeleka kubaya, msaada wenu wananzengo

    Badilisha kwanza hiyo username yako. Hiyo ndio tiba ya kwanza. Baada ya hapo, tutaendelea zaidi.
  3. G

    Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Uzi wako umekuja wakati muafaka nadhani nitajifunza jambo.
  4. G

    Nimechungulia mchezo wa kesho Stellebosch vs Simba huko Durban, Matokeo ni Suluhu au Sare

    Haha, mkuu hii ni editing. Umetumia nafasi vizuri kwasababu hamna aliye quote post yako ya mwanzo.
  5. G

    Polisi wa mama ndio walioteka akina Sativa........

    Yeye hajali hata pakiharibika kiasi gani. Amesha jiandalia makazi sehemu nyingine yeye na jamii yake.
  6. G

    Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Mkuu pole, ungejaribu kutueleza chanzo cha hiyo depression.
Back
Top Bottom