Recent content by GEMBESON

  1. GEMBESON

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Itakuwa kinyume Chake. Timu itakayoanzia goli la Kaskazini ndiyo itakayoshinda. Tena ushindi mwembamba 1:0 au 2:1 Niwatakie burudani njema.
  2. GEMBESON

    Leo nimekumbuka namna mpenzi/ mama wa watoto wangu alipoanza kunishinda kipato baada ya kupata kazi kila kitu kikaparaganyika

    Ukitaka kujua kuwa huyo mwanamke uliyenaye ni wife material, muangalie pale unapopata matatizo ya kikazi, anakuwa na tabia zipi? (Je anaendelea kukupenda?, anakutia moyo? n.k) Nakumbuka Kipindi kile cha JPM kuna wafanyakazi wenzangu 6 waliachishwa kazi kwenye lile sakata la vyeti feki. Hadi...
  3. GEMBESON

    Exclusive: Chama ni mwananchi

    Namtakia kila la kheri huko aendako. Chama hajawahi kuifunga Yanga na game zote alizocheza dhidi ya Yanga alicheza chini ya kiwango. Haya ni maamuzi murua kabisa
  4. GEMBESON

    Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

    Nilichojifunza ni kwamba ndoa wala hazifanani. Kila ndoa Ina staili ya utofauti ambao unaweza usifanane na ndoa nyingine. Kunakuwa na vitu vichache sana vya kufanana. Kuna wengine hata wamfumanie mwenza wake utakuta wanaweza vumilia na kusamehe, lakini kuna wengine wakikuta tu umemtumia mtu...
  5. GEMBESON

    Mangungu: Nitatoa pesa za usajili Kwa maslahi mapana ya timu

    Nyuma ya Mangungu inawezekana tayari kuna matajiri wengine wanaitaka hii timu. Si bure. Huyuhuyu Ngungu ndio afanye usajili wa kina Mayele!
  6. GEMBESON

    Hata kama ungekuwa ni wewe lazima tu, ungeachana naye!

    ....Ameninunulia nyumba....kanifungulia na ofisi kubwa Na hapa alipo tayari ana ujauzito wangu!
  7. GEMBESON

    Mtoto wa mchungaji Christina shusho avishwa Pete ya uchumba

    Yaa, Ni kweli. Miaka ya zamani wazazi wetu walikuwa wanataka tukaoe kijijini, lengo lao ilikuwa wanatusaidia kuchunguza tabia za wazazi wa huyo binti zipoje? * Wakiona mama wa huyo Binti alimtokroka Mume ili awe huru kudanga - Wanajua hiyo senario kwa asilimia 50 itakuja kujirudia (Wanakuambia...
  8. GEMBESON

    RASMI: Massanza ni Msemaji wa Singida Black Stars

    Ukiuza kitu chako kitakuwa na laana endelevu ya kupigwa bei kila kinapokwenda. Ilianza Kuitwa; Mawenzi Market, DTB Singida Big Stars, Singida Fountain gate, Ihefu, Singida Black Stars
  9. GEMBESON

    SI KWELI Sheikh Yahya Hussein alitabiri baada ya Rais Mwanamke kumaliza Mihula yake Upinzani utaongoza nchi

    Nakumbuka alisema Rais atakuwa mwanamke au upinzani utashinda Pia alitabiri tarehe ya mwisho wa Dunia. Kilichotokea kwenye tarehe ile aliyoitaja Hakukuwa na mwisho wa Dunia ila kwenye tarehe ile yeye mwenyewe alifariki.
  10. GEMBESON

    Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

    Kwa Kizazi hiki cha sasa 96% ya wanawake ndio wapo hivyo na ndio hao unaowasemanga. 4% waliobaki ndio hao unaowafagilia mtoa mada. Hawa walikuwepo miaka ya kitambo sana, sasahivi wanaelekea kutoweka. Japo kidogo unaweza kuwabahatisha huko kwenye nyumba za ibada na vijijini. Ndio maana...
  11. GEMBESON

    Video: Ubishani ni Zanzibar ni nchi au siyo? Wenzenu upande wa Zanzibar ni Wazanzibari au Watanzania? Wasira, Rais Samia vs Tundu Lissu: Nani mkweli?

    WaZanzibar wana Katiba yao, Rais wao na Jeshi lao JKU. Wakati watanganyika wote hatuna Rais wala katiba!. Hapa tumepigwa za uso
  12. GEMBESON

    Ushauri: Nilimfumania nikaachana naye lakini sasa haishi kunitukana, nataka kumburuza kwenye vyombo vya sheria

    Nguvu ya mwanamke ipo mdomoni. Usijisumbue kushindana na mwanamke kwa kujibizana nae atakushinda tu nawe utaishia kumpa kichapo. Mwanamke anauwezo wa kuongea kitu cha uongo cha kukudhalilisha na kikaonekana ni cha kweli
  13. GEMBESON

    Ushauri: Nilimfumania nikaachana naye lakini sasa haishi kunitukana, nataka kumburuza kwenye vyombo vya sheria

    Huyu wagu nilifuga nae ndoa, nimemsomesha Chuo na nimemtafutia kazi Serekalini na nina mtoto nae (Anajua alipotoka na mahali alipo) mtu niliemkuta nae ni mume wa mtu. Hivyo hii njia yangu inamtesa maana hajui nawaza nini.
Back
Top Bottom