Hongereni sana vijana kazi nzuri mno. Mimi binafsi nilikuwepo na kushuhudia mkiwa kazini. Kwanza tulifurahia mlivyoipanga na kweli ile speech ya kisiki Golugwa ilikuwa ya kiongozi wa kuigwa.
Tafadhali muandae nyingine ifanyike kati kati kidogo ya England.
Oparesheni Komboa Tanzania: BBQ Funga Mwaka Reading Kesho.
Mh Golugwa Amewasili London
Kesho Ndiyo Kesho Jumamosi Reading Mheshimiwa Amani Golugwa Amewasili Tayari Kwa Kazi Iliyomleta - OPARESHENI KOMBOA TANZANIA.
Video Hapa Chini Mh Golugwa Mwenyewe Akiwakaribisha Rasmi waTanzania...
CHADEMA UK inawakaribisha waTanzania na wapenzi wote wa CHADEMA kwenye barbeque (End of the Year BBQ) party itakayofanyika Comunity Hall/Back Garden, 44 Watlington street, RG1 4RJ Reading tarehe 05-10-2013.
Mgeni rasmi atakuwa ni mwanasiasa mwenye kipaji cha pekee na muhimili muhimu wa CHADEMA...
Naomba muelewe kwamba hiyo center number inayoleta utata ipo huko duniani ni kwa yeyote anayependa kutuma FREE SMS kwa hiyo si lazima iwe ni ya VODACOM.
Source:
THIS IS A FREE TXT NUMBA +44780200332.
HERE ARE SOME SMSCS!
+44973100973 WORKS ON VODAFONE
+44780200332 WORKS ON O2
+44780200341...
Huu ni uzalendo tunaopenda kuuona kutoka kwenu. Sasa nadhani hiyo itakuwa ni jibu kwa wale wanaowachukulia nyie mnaoishi ughaibuni kuwa ni wasaliti mlioikimbia nchi yenu.
Wewe ni mtu muelewa sana na kwa kuangalia majibu yako haya nina picha yako kabla hata sijakuona au kuongea na wewe.
Kwanza kabisa majibu yako ni ya kina na yanayoashiria mtu huyu ni makini. Hujakurupuka kutoa majibu haya.
Pili na swala muhimu sana uliloligusia hapa ni 'Personal...
Majibu mazuri sana ila tatizo langu ni jinsi CHADEMA inavyojikita kwenye swala hili. Hii ina ipa CCM a breathing space kwa sababu kama ni maswala ya policy, CCM hawana cha kujibu.
Bunge sasa linabadilishwa kufanana kidogo na enzi za chama kimoja. Hii ni kuua upinzani ambao kwa mawazo yangu ni...
Kwa muda sasa CHADEMA imejikuta ikipoteza muda mwingi kwenye maswala yanayohusu sakata la Lwakatare. CHADEMA imejikuta ikijibu hoja nyingi na kuifanya kuonekana inaji-defend zaidi. Cha kusikitisha ni kwamba habari hii imefunika habari nyingine muhimu zinazoonesha uozo na uchafu wa serikali...
Huyu jamaa anatakiwa akae ofisini tu asiingie vyombo vya habari maana huwa anachafua hewa. Madharau yake hayana msingi tunachotaka ni uchapa kazi.
Na hiyo video itatoka kweli au ubalozi wameifukia!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.