Recent content by GEM mama

  1. GEM mama

    Aptitude test TCB

    Hello, guys wale wa BOO interview ni saa 0800 na sio saa 1000
  2. GEM mama

    Natafuta kazi ya kufundisha vyombo vya muziki

    Habari wakuu natafuta kazi ya ya kufundisha muziki na kupiga vyombo vya music. Sina cheti ila nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitano katika shughuli hii nina uwezo wa kupiga kinanda na gitaa pia ninaimba. Nafundisha rika zote. Kwa nafasi yoyote ya kazi naomba nijulishe inbox nafuatilia comments.
  3. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    thanks
  4. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Okay naleta mkuu
  5. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Hakuna biashara isiyo na mtaji kiongozi (MTAJI KULINGANA NA ENEO) na biashara siyo kukurupuka ni mipango thabiti pia usichukulie poa maisha hatufanani wengine tunaanza from zero wakati wengine mnatengenezewa njia hivyo najua ninachohitaji na biashara nimefanya kwa kiasi mpaka kutafuta ajira ujue...
  6. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Ndio ni moja kati ya pillars zinazonijenga mkuu
  7. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Biashara mkuu ya urembo
  8. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Oooh kuchanganyikiwa huku wakata au kijiji mkuu
  9. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Wanaforums wenzangu naombeni msaada niweze kupata kazi ya utendaji nimatamanio yangu nipate ajira ya kudumu hata utendaji tu ni miaka mingi natafuta kazi naishia kupata vibarua tu vya muda mfupi. Nina diploma(2013) na degree(2016) ya uhasibu toka TIA. Asante
  10. GEM mama

    Mliowahi kuacha au kuachwa Mke/Mume, mlikutana na changamoto gani kubwa baada ya ndoa kuvunjika?

    Hujui thamani ya watoto wewe kama wazazi wako wasingekuthamini ungeishi kuiona leo?
  11. GEM mama

    Mliowahi kuacha au kuachwa Mke/Mume, mlikutana na changamoto gani kubwa baada ya ndoa kuvunjika?

    Mungu tu ndo anajua yaani watu tumekutana na vitunguu haswa ni kulia tu kama siku zirudi nyuma tuanze upya machagulio
  12. GEM mama

    Mliowahi kuacha au kuachwa Mke/Mume, mlikutana na changamoto gani kubwa baada ya ndoa kuvunjika?

    Jamani kama ndoa yako ina amani mshukuru sana Mungu na kama unamume anajali watoto piga goti kwa Mungu kuna watu tunapitia changamoto mpka tunaingia mitandaoni kutafuta faraja. Mm sijui lipi unapitia ila kama lolote unalofanya au kuamua ni kwa ajili ya wanao fanya bora ww wanao ni wakubwa kiasi...
  13. GEM mama

    Mke wangu hajali familia

    Kufanya kazi au majukumu yako kisa kuogopa kuachika ni ujinga kama ujinga mwingine. Mwanamke tena haswa mama kazi ni nyumbani na malezi ya watoto ni jukumu lako hata uwe umechoka vp
  14. GEM mama

    Mke wangu hajali familia

    Dooo i wish ningepata mwanaume wakujali angalau watoto tu
Back
Top Bottom