Mliowahi kuacha au kuachwa Mke/Mume, mlikutana na changamoto gani kubwa baada ya ndoa kuvunjika?

unajua nawahurumia watoto maana mi nilivyokua mdogo mama akisafir tu lazima kila siku jioni nitaenda kusimama njia aliyo ondokea nikisubil arudi likiingia giza narudi ndani weeee hakuna KAMA mama labda huyo baba ndio apewe talaka aondoke mama abaki na hela za matumizi ziko pale pale
Hii kauli tata hii.
 
Fikiria watoto zaidi kuliko mke! Tunawaoa wanawake ili watuzalie watoto! Kwa sababu ya watoto vumilia tu huku ukiendelea kutafutu suluhu hata kwa kuwatumia wazee,majirani,nk
Mwanamme ni mwanamme!
 
Fikiria watoto zaidi kuliko mke! Tunawaoa wanawake ili watuzalie watoto! Kwa sababu ya watoto vumilia tu huku ukiendelea kutafutu suluhu hata kwa kuwatumia wazee,majirani,nk
Mwanamme ni mwanamme!
Inahitaji nguvu za ziada kuvumilia hali hii.
 
Habari za Nyerere day.

After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.

Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.
Oyaaa sikia wewe, piga chini mama yao. Chukua watoto peleka boarding school, huwezi peleka day care . jioni unapambana nao mwenyewe huwezi muachie mama yao akawalee. Hawezi peleka kwa bibi yao (mama yako) acha kuhangaika kisa mbususu pesa ikuhangaishe na mtu mzima mwenye meno 32 akusumbue? Damn
 
Habari za Nyerere day.

After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.

Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.

For the sake of your owns kids and the good of your own soul and peace of the mind, reconcile the differences and move forward
 
Habari za Nyerere day.

After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.

Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.
Mkuu tatizo hasa la mamayao ni nini, if ukiendelea ishi na huyo mwanamke hamna athari kwako kiafya, kiroho, kiuchumi basi for the sake of your kids vumilia mpaka wawe wakubwa, maana ukiachana naye now huyo mwanamke atawajengea mentality watoto kuwa wewe ndo shida hupendi watoto kingine ukitoa hela za matumizi ataonekana mama katoa baba hatoagi, kingine sijui financially uko vipi but kama ni uchumi huu wa kumiliki nyumba na harrier ya kutembelea as soon as unakuwa na mwanamke mwingine shida za kiuchumi zitakuja kuongezeka mbele ya safari maana kwa mfano ukizaa na mwanamke mwingine watoto wengine usipopangilia vizuri mambo yako tegemea crisis kwenye urithi mbele ya safari, wewe pambana kwa ajili ya watoto wako huyo mwanamke mtoe akilini, hata ukisex naye imagine tu unatimiza wajibu siku ziende thawabu yako utaikuta mbinguni inakusubiri but kamwe usiingie kwenye mtego wa kuwa mbali na wanao kwa namna yoyote ile wanakuhitaji wewe as kiongozi wao hapa dunian wakikua wakubwa watakapoanza kujitegemea watakushukuru wewe kuwasimamia vyema maana itakuwa wamejionea toka utotoni ulivyowapambania regardless ya kero za mama yao.
 
Mkuu mimi ni mtoto wa kulelewa na mama wa Kambo namshukuru mama yule ni mama mwema sana kwa upande wangu, yupo mdogo wangu wa kike ambaye naye tumelelewa pamoja lkn bahati mbaya sana hawakuiva na yule mama yetu aisee sitaki kurejea taswira za aliyopitia its bad na niliapa kuwa sitokuja kuwa sababu ya watoto wangu kulelewa na Mama wa Kambo.

Kwa kifupi nakushauri hivi;
1. Kuchokana kupo sana tu, lkn goes with certain period of time, vumilia ipo siku utaanza kumpenda tena mama yao, ndio sababu watu wanaweza achana leo wakarudiana baada ya miaka kadhaa kupita, that means wamerejea katika hali mpya ya kupendana hasa watoto wakiwa kiunganishi.

2. Kama huwezi ku balance mambo epuka michepuko maana u might fall totally kwa mchepuko nyumbani ukawa unaona ni kama jela/tanuri. (Kurogwa kupo)

3. Jitahidi kuwa sehemu tofauti na mama watoto wako mfano vacations na mitoko mingine can assist kwenye ku-reunite and revamping ur marriage.

4. Make sure maamuzi juu ya mahusiano yenu ni yenu yasiingiliwe na yyt iwe wa upande wako au wake, wengi hufurahia mabaya ya wengine yanapowakuta.

5. It might happen watoto wakawa wanalewewa na mama, certainly mama akaja kuolewa tena, wapo wababa wa kambo wenye kufanya unyama mkubwa kwa watoto waliowakuta kwa mwanamke including kuwalawiti etc....

Siafiki watoto kulelewa na mama wa kambo hutojua kinachoendelea kwa watoto ukiwa haupo, utajua ikiwa too late.

Testimonial
Ninaye shemeji yangu (dada wa mke wangu) ameachana na mumewe, katika vitu huwa anatusihi ni kufikia hatua aliyofikia yeye maana inamtesa kuona wale watoto wanavyohangaika na kuteseka kwa sababu ya wao kuachana. Mm nimechukua jukumu la kumlelea mwanae mmoja kwasababu ya mateso aliyokuwa akipitia huyo mtoto.

Nikutakie kila la kheri na busara kwenye uamuzi wa hili. Kumbuka kosa pekee gumu kusameheka ni uasharati mengine yanarekebishika na kusameheka.
Comment nzito 😍
Uzi ufungwe
 
Jamani kama ndoa yako ina amani mshukuru sana Mungu na kama unamume anajali watoto piga goti kwa Mungu kuna watu tunapitia changamoto mpka tunaingia mitandaoni kutafuta faraja.

Mm sijui lipi unapitia ila kama lolote unalofanya au kuamua ni kwa ajili ya wanao fanya bora ww wanao ni wakubwa kiasi nikisoma hv mtandaoni machozi yananitoka coz ilinibidi nipeleke mtoto wangu wa miaka miwili kasoro nyumbani ili asishuhudie mambo ya baba yake na mizozo yetu maana watoto wanakariri mbali na hapo natarajia mtoto mwingine(sikumtarajia kipindi hiki) baba mtu hana habari ni mapombe tu hajali kwa lolote anajijali yeye tu.
 
Habari za Nyerere day.

After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.

Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.
Am very sorry kwa unachopitia!
Sure kipindi hichi wanawake wengi wanafanya maamuzi magumu katika ndoa zao, amini haupo peke ako.

Usiombe kupitia hii hali ukiwa hoi kiuchumi ndugu yangu but if your financial stable its easy to handle.

Chunguza tabia ya mkeo kama ni MTU wa hasira na maamuzi magumu anaweza kukuua au kuhakikisha unashuka kiuchumi in any means.

Unaweza kuona ni busara kuendelea nae kama ni mwanamke anayethamini watoto na kuona thamani ya ndoa (mtaka suluhu) otherwise ni vyema ukampa nafasi akapumzike kidogo ama mpeane talaka.

Binafsi nimeamua talaka watoto nimebaki nao anakuja tuu kuwaona sijamzuia
 
Habari za Nyerere day.

After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.

Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.
Muache kwanini ukae kwa mashaka
 
Jamani kama ndoa yako ina amani mshukuru sana Mungu na kama unamume anajali watoto piga goti kwa Mungu kuna watu tunapitia changamoto mpka tunaingia mitandaoni kutafuta faraja.
Mm sijui lipi unapitia ila kama lolote unalofanya au kuamua ni kwa ajili ya wanao fanya bora ww wanao ni wakubwa kiasi nikisoma hv mtandaoni machozi yananitoka coz ilinibidi nipeleke mtoto wangu wa miaka miwili kasoro nyumbani ili asishuhudie mambo ya baba yake na mizozo yetu maana watoto wanakariri mbali na hapo natarajia mtoto mwingine(sikumtarajia kipindi hiki) baba mtu hana habari ni mapombe tu hajali kwa lolote anajijali yeye tu.
Kwann wanawake wavumilivu mnaojali familia zenu mnapata wanaume vichomi HIV??? Sis waugwana ndo tunakutana na wanawake matindikali aisey!!
 
Mkuu mimi ni mtoto wa kulelewa na mama wa Kambo namshukuru mama yule ni mama mwema sana kwa upande wangu, yupo mdogo wangu wa kike ambaye naye tumelelewa pamoja lkn bahati mbaya sana hawakuiva na yule mama yetu aisee sitaki kurejea taswira za aliyopitia its bad na niliapa kuwa sitokuja kuwa sababu ya watoto wangu kulelewa na Mama wa Kambo.

Kwa kifupi nakushauri hivi;
1. Kuchokana kupo sana tu, lkn goes with certain period of time, vumilia ipo siku utaanza kumpenda tena mama yao, ndio sababu watu wanaweza achana leo wakarudiana baada ya miaka kadhaa kupita, that means wamerejea katika hali mpya ya kupendana hasa watoto wakiwa kiunganishi.

2. Kama huwezi ku balance mambo epuka michepuko maana u might fall totally kwa mchepuko nyumbani ukawa unaona ni kama jela/tanuri. (Kurogwa kupo)

3. Jitahidi kuwa sehemu tofauti na mama watoto wako mfano vacations na mitoko mingine can assist kwenye ku-reunite and revamping ur marriage.

4. Make sure maamuzi juu ya mahusiano yenu ni yenu yasiingiliwe na yyt iwe wa upande wako au wake, wengi hufurahia mabaya ya wengine yanapowakuta.

5. It might happen watoto wakawa wanalewewa na mama, certainly mama akaja kuolewa tena, wapo wababa wa kambo wenye kufanya unyama mkubwa kwa watoto waliowakuta kwa mwanamke including kuwalawiti etc....

Siafiki watoto kulelewa na mama wa kambo hutojua kinachoendelea kwa watoto ukiwa haupo, utajua ikiwa too late.

Testimonial
Ninaye shemeji yangu (dada wa mke wangu) ameachana na mumewe, katika vitu huwa anatusihi ni kufikia hatua aliyofikia yeye maana inamtesa kuona wale watoto wanavyohangaika na kuteseka kwa sababu ya wao kuachana. Mm nimechukua jukumu la kumlelea mwanae mmoja kwasababu ya mateso aliyokuwa akipitia huyo mtoto.

Nikutakie kila la kheri na busara kwenye uamuzi wa hili. Kumbuka kosa pekee gumu kusameheka ni uasharati mengine yanarekebishika na kusameheka.
Ndugu kama we ni wakiume usiombe mauzi ya mke mpumbavu!!

Anyway nimelelewa na single parent niliapa chini ya jua I will never separate With my wife kutesa watoto wangu but nimeshindwa now tumetengana na sitegemei kurudiana nae kwa maumivu aliyonisababishia nimebaki na wanangu.

Kikubwa katika maisha mshukuru Mungu ukifa au kuzeeka na amani katika ndoa yako. Maana shetani anahangaika na ulipopathamini.
 
Back
Top Bottom