Recent content by gekaboy

  1. gekaboy

    FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

    Shida ya kufunga ni kwasabbu mayele aliondoka na vitendea Kaz a. k. a majini [emoji1787]
  2. gekaboy

    FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

    Kulingana na namna simba wamecheza mechi mbili hz za ligi vipi mnaona kama wamejipata au bado tuwape muda
  3. gekaboy

    Movie 10 Bora za muda wote

    Ebu weka zako tuone kk
  4. gekaboy

    Movie 10 Bora za muda wote

    Ndio hiyo pirate of Caribbean
  5. gekaboy

    Movie 10 Bora za muda wote

    Hizi ndio movie kumi bora za muda wote azichoshi . Japo sijazipanga kwa mtiririko 1. Apocalypto ( jaguar) kuna wahuni walitupiga fix et ni Ronaldinho [emoji1][emoji1] 2.the lord of the rings 3.king Kong 2005 4.pirates of Caribbean zote 5.terminator : judgement day 6.ong-bak 7.rambo first blood...
  6. gekaboy

    Nyimbo ambazo azijawahi kuchosha kusikiliza

    Aliupiga mwngi sna ilinichukua muda kulitambua hilo
  7. gekaboy

    Nyimbo ambazo azijawahi kuchosha kusikiliza

    Umetishaaa kk[emoji91][emoji91][emoji91]
  8. gekaboy

    Nyimbo ambazo azijawahi kuchosha kusikiliza

    Japo ya kuwa ni nyimbo za zamani ila always ukiweka bado unapata burudan hile hike. 1.nisamehe ya belly black ft Suma lee 2.ulofa ya top c 3.sina raha ya Sam wa ukwel R. I. P 4.lala salama ya diamond 5.amigo ya Les wanyika Zipo nyingi ila siwez dondosha zote ebu share zako kweny comments...
  9. gekaboy

    Hakuna ubishi, S2kizzy ni producer bora kuzidi mkongwe Master Jay

    Hakuna ugonjw mbaya hii nchi kama ugonjw wa uWCB Yan wanaamini kila kizur ni wao kwnn msiwe kama sisi wengne hatuna side Cha msingi mziki mzuri tunasikiliza NB: mara mia ungesema tuddytomas angalau alikuwa ana beats za hatareeee San ni vile tu wahuni walimvunja kiuno
  10. gekaboy

    Tukumbushane movies za zamani za Nyumbani

    Chiku na kapili au safar Roho mbili Pete Kinyamkela Sikitiko langu Dangerous desire Kihongwe Sikio la kufa Yolanda Dar 2 Lagos
  11. gekaboy

    Tanzania sio nchi ya mpira tunalazimisha tu

    Nimekuelew mkuu kbx unachozungumzia ila aujaelew maan yangu ndio maan hata Madagascar baada ya hapo tena wamepotea means kwa asili sio taifa la mpira
  12. gekaboy

    Mbona Simba queens wanacheza Azam complex na wanashinda, mbna timu ya madogo wanacheza hapo Azam complex na wanapata matokeo?

    Viongoz wa timu kubwa mnaruhusu kabx, et kufungua Whatsapp channel ni mafanikio ya timu , et kibegi mafanikio hmn timu ya mpira inaanzishwa kuuza mchicha ni kubeba ubingwa kwhyo mafanikio ni ubigwa au kufikia stage fuln ya kufukuzia ubigwa yan mangungu na jarbu tena Amna viongoz palee
  13. gekaboy

    Nitajie wachezaji watatu waliokuhamasisha kuupenda mchezo wa soccer

    Kibongo bongo ni Juma k juma Victor costa Christopher Alex Mambele ilikuw capital tv wanaonesha marudio ya game ya arsenal na man u enzi hizo cr7 bdo Chali alikuwa anakimbiza balaaa chenga viumbe vya arsenal hatareeee ila kulikuwepo na stopper mweusi hv sijui Campbell kma sijakosea ndio...
Back
Top Bottom