Yani wewe ndo unakosea kabisa..,kwanza sidhani kama mleta maada kasema kaacha kulima. Pili, ukwasi mara nyingi unaletwa na chanzo zaidi ya kimoja cha mapato, mkuu wewe hujui kwamba kilimo ni moja kati ya biashara zisizotabirika KABISA???! au haijawahi kulima? hivi unafaham kwamba pamba msimu...
Mimi ni mwanachama hai wa CCM, ila ndugu yangu jaribu kuficha ujinga wako basi hata mara moja moja.., kwenye ule uzi wa ndugai nimeona comment yako, niki relate hii ya uzi huu ni dhahiri wewe ni kanyaga twende tu, ukimya sometimes ni jawabu zuri mdau, bora ungepiga kimya tu
Hivi mwenzetu huwa unafikiri kwa kichwa au makkalio! Maana kama hii ndo product ya kichwa chako, nawahueumia watoto wako wakirithi hata thelithi ya akili zako
It's now official, sintasoma tena nyuzi zako mleta uzi.., ni aibu na fedheha, hivi siku hizi unaandikiwa au unaandika mwenyewe? sometimes ni busara kukaa kimya kama huna kitu tangible cha kuandika mzee wangu Paskali Mayalla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.