Recent content by Gee21

  1. G

    My home cleaners-tunaomba tenda za usafi

    Tunahusika na kufanya usafi nyumbani, ofisini, ukumbini na popote pale panapohitajika. Gharama za usafi wetu zinategemea na ukubwa wa eneo, pia kama unasumbuliwa na wadudu wasioisha tunaku-connect na watu wetu wazuri sana kwajili ya fumigation katika eneo lako. Nb: hata ukihitaji kupata huduma...
  2. G

    Naomba kuuliza kuhusu chimbo zuri la kununua mitumba balo za mitumba

    Shukrani sana mkuu nitafanyia kazi huu ushauri
  3. G

    Naomba kuuliza kuhusu chimbo zuri la kununua mitumba balo za mitumba

    Too bad una limit ya viewers, anyway I hope nitapata msaada hapa hapa. Nahitaji kuanza kufanya biashara ya mashuka niwe nanunua belo pale zinakopatikana kwa bei nzuri na supplier wa uhakika (Grade iendane na bei). shuka nazotafuta ni zile za cotton nzito unakuta ndani ziko either pair 2 na...
  4. G

    Karibu JF Mgeni. Naomba nikutambulishe kwa familia yetu

    Shukrani sana mkuu kwa ukaribisho.
  5. G

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Wakuu habari zenu, natafuta mdada wa kufanya nae kazi, naishi Arusha (tengeru) kwa sasa, nahitaji mdada ambaye atakuwa anatengeneza matunda kwenye kijiwe changu. Malipo ni kwa siku na kwa maelewano. Akiwa anaishi tengeru atanifaa zaidi. KARIBUNI PM
  6. G

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mimi ninayo ya myonyo, jumla na rejareja karibu Jumla 5ltrs-60,000 ya nywele, 70,000 Mwilini(mixed) reja reja- 250mls-10,000, 200mls-8,000 na 180 mils-5,000(haya ukichukua more than one bottle nakupunguzia 1,000 KARIBU MKUU).
  7. G

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Habarini za mchana wakuuu? Mimi naleta bidhaa zangu hapa nauza mafuta ya mnyonyo kama inavyoonekana pichani na sabuni za maji multi-purpose nzuri na zenu harufu mbali mbali… nawafikia wakazi wa Arusha na Dar Es salaam kwa wakati.. Bei ya mafuta. 1. 250Ml-10,000 2. 200ml-8,000 3.180ml-5,000 Bei...
  8. G

    Kitabu cha alfu lela ulela hiki hapa download

    Naomba kitume tena mkuu, siwezi kudownload nadhani system haijakaa sawa
Back
Top Bottom