Jaamaa unajua vitu vzr Sana kuanzia boxing mpaka ufc na naona umemuweka mwamba Deontay Wilder (Hiki ni chuma haswa).Nakuambia Mimi shabiki Sana wa Canelo Ila atakaliswa.UFC ni mnaija anashinda
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha kumtetea huyu babu.kuna mada kaanZisha haZina kichwa wala miguu mara aulize alipe Joshua Nasari,mara vijana waende jeshini,mara mama Mhe.Samia alegeze vyuma na Zingine nyingi.Humu tupo kwa ajili ya kujifunza na kukuza imani kwa Mwenyezi Mungu ila anatupia mistari kumi.Tunaandaliwa kwa...
Mimi michuano ambayo niliikubali ni ile ya mwaka 1998 Kwanza ilikua na vibe/hamshahamsha za kutosha na wakati huo Ricky Martin katoa wimbo la mashindano linaitwa cup of life(go go aleee aleeee) huu wimbo ukipigwa mpaka sahv lazima uukubali.Kipindi hiki ndio kulikua na...
Nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka.Hii familia baba,mama na wototo wote wazee wa matukio ila dogo lako hatari.Mkitengeza team mnaweza kuiba ata Benki Kuu hahaahaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.