Ikumbukwe hiv vitu vinvfanyika kwa barua simna hawakupeleka barua ya kugoma kupeleka timu walipeleka barua ya kufanyiwa fujo, bodi wakahairisha so simba still wako sawa. Kugoma ilikuwa story
Makato ni ww unakatwa ama? Mbn hujiulizi miaka yoote ulikua unaweka vocha na hawakatwi aliekua akifaidi ni nan?
Sent from my SM-N900V using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.