Nyumba ina pangishwa vyumba 4 master moja jiko seating room, Deming room stoo ndani na nje ,parking Umeme maji ya kununua jirani
Eneo Kisukulu.
Kodi 200,000/= kwa mwezi
Kodi ya Miezi 6.
Call 0754 771177
Hakuna Rais wa Marekani
Ambeye yupo simple isipo kua huyu Mteule ni Maarufu ndio mama lkila kitu tunaambiwa
Hapo ulinzi kuanzia Babu mpaka mjukuu ulinzi ni %100/=
Mr Baba jazey athante kwa kuliza Nauli hutegemea majira,kipindi cha Baridi ni $1950
Joto $2200___2100b
Kulala ni bule nihapohapo kwa Mwenyeji wako.
Mtaji inategea mzigo unao fuata
Lugha Kubwa ni English
USALAMA %100
Naheshima juu
Hasa ukitambulika kwa ni Tz BASI wana mkumbuka Nyerere.
Matapeli ni nyie mnao tumia majina Bandia na usilolijua ni usikimbilie mada ,Japan sio Kama Tz,Unapo tua Air port ukamaliza utaratibu wa pale ndani Ww utaonekana popote uendapo,na hakuna biashara ya Cash pesa yako Bank unalipia Bank,wa Tz niwajuzi kuongea mdomoni kishwani ( )
Na huishia mdomoni,
Naitwa Gebiherd Gebe Millinga, Mzaliwa wa Mkoa wa Ruvuma
Wilaya ya Nyasa kijiji Lituhi. Ni MTANZANIA Fani yangu ni Fundi Magali. Garage yangu ipo Tabata Segerea Dar-es-Salaam. Makazi yangu ni Tabata Makoka.
Nime igia Japan Mara 3 kwa Miezi 3 kila Tripu.
Safari zangu za Japan ilikua ni Kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.