Natafuta chumba cha kupanga

Natafuta chumba cha kupanga

Hiyo bei niliwahi kulipa kwa Azizi Ally mwaka 2009 tena ilikuwa unfinished house!! Zaidi ya umeme na choo cha kuchangia, maji kwa jirani!!

Hiyo mitaa, hususani kwa Azizi bei ya vyumba siku hizi ipo juu kutokana na ukaribu wake na TIA pamoja na DUCE na hivyo demand kuongezeka. Na kutokana na fagia fagia ya Kurasini, nadhani hata Tumaini Kurasini Campus nao sitashangaa nikisikia wapo wanaokaa kwa Aziz!!
Iv tumain ipo kurasin sehem gan
 
Habar zenu
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya chuo cha TIA Dar kurasini - uhamiaji mpka sabasaba kisiwe mbali sana na barabara kuu pia kiwe na mazingira mazur maji,tires ikiwezekana hata self kwa bei ya 50-60
Hapo red, hicho chumba kiwe na matairi ya Starlet au Scania??
 
Nyumba ina pangishwa vyumba 4 master moja jiko seating room, Deming room stoo ndani na nje ,parking Umeme maji ya kununua jirani
Eneo Kisukulu.
Kodi 200,000/= kwa mwezi
Kodi ya Miezi 6.
Call 0754 771177
 
Habar zenu
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya chuo cha TIA Dar kurasini - uhamiaji mpka sabasaba kisiwe mbali sana na barabara kuu pia kiwe na mazingira mazur maji,tires ikiwezekana hata self kwa bei ya 50-60

vipi ulipata chumba?kama kuna kingine niunganishe basi kuna mdogo wangu anahangaika sana yupo T.I.A
 
Natafuta chumba kimoja kiwe kina sebule na choo ndan sio cha kushare...
Location maeneo ya karibu na chuo cha TIA....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom