waizi wakizidi hatusemi bora uwiz uhalalishwe padri akiwa na tamaa zake hatuwezi kuvunja sheria za kanisa maana hakulazimishwa kuwa padri na alijua sheria za kuwa padri mapema tuu
hivi wewe unataka tuamini hiyo redio ya udaku badala ya ushahidi wa kihistoria hiyo redio nini ulitaka nchi hii ikombolewe na nani weye kichwa kinabaki kuwa kichwa na wewe sikio unabaki kuwa sikio tuu binuka pinduka huwezi kukizidi kichwa
hiyo redio mnaiita imani au imamu maana nawaona wendawazimu tuu huwezi kusimama ukasaiti ni sawa sawa na gazeti la udaku redio inayochochea maasi wewe utadhani vipindi vya taarabu
Nyerere jembe ulitaka awe muislamu mbona ww muislam hatukusemi toa hoja ukatoliki wa nyerere na uislamu wako hautuhusu kama vip jilipue bas kama unahasira ili ulipwe thawabu mafundisho mengine bana embu jamani fikirieni ukijiua utalipwa kweli
Hivi dini hii mbona inangangania sana habari ya udini tz au mnataka kupata thawabu kwa kumwaga damu? Hpa hakuna cha jihadi hapa mwendo ni huu huu hata kama mnapewa mafundisho ya uchochezi ukijiona unaonewa jinyonge uepukane na unyonyaji
huwezi kuibadili nyeusi kuwa njano sio ajabu vijana wasio na akili kumrudi mamake ni sawa na ww unavyomsema mwl pamoja na yote aliyofanya swala la udini wewe na dini yako ndo mnalijua
Kiongozi mkubwa kama lisu anasubutu kuzuia michango ya maendeleo jimboni kwake wakati chama chao kinachangisha maskini nchi nzima huu sio ungwana wasingida wanaongoza kwa tembe na kutokwenda shule badala awasaidie yeye ndo anawagandamiza huu ni uchawi...haitoshi anaingia bungeni akiwa kifua...
Kinachonishangaza ni namna viongozi wa chadema wanajiita waadilifu na kuchangisha fedha mtaani kwa ajili ya uchaguzi ili waende ikulu baba wa taifa namnukuu ''ukiona mtu yupo tayari hata kutumia fedha ilikwenda ikulu aogopwe kama ukoma" lkn pia mbona katika maandamano yao hawawatangulizi watoto...
hamna chochote hapo unahakika na usemacho wewe au tu kwa vile twaweza bofya? Fikiri juu ya utaifa kabla ya uchadema wewe tumechelewa sana kuvipata vitambulisho vya taifa wewe angalia nchi zilizoendelea TAFADHALI SWALA HILO LIWEKWE MBALI NA SIASA WATU TUNATAKA MAENDELEO SIO UCHOCHEZ HATA KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.