Uanachama ndani ya chama chochote ni jambo la hiari ila wanapotokea Professional Politicians linakuwa suala la nani anafaa kuwa mwanachama wetu na nani hafai na kwa nini. Tunachagua wenyewe mwanachama wa kutufaa ili tuendelee kudhihirisha kwamba we are professional politicians.
Mimi nakubaliana na mpango wako wa kuchunguza demokrasia ndani ya vyama vya upinzani na upangaji wao wa safu za uongozi. Lakini pia nikupe changamoto ya kuchunguza hiyo demokrasia ndani ya chama chetu tawala kama kweli huwa ipo na kama tunawachagua viongozi wa kitaifa (hapa namaanisha...
Kama nimeelewa vema maelezo ya uzi huu huyu ndugu Mwigullu amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya kuandaa working paper na ametaja na wajumbe wa kamati hiyo sasa hapa sioni cha kutamba nacho ni nini hapa kimataifa. Kuongoza kamati?
Kwa mtu mwenye akili katika siasa atagundua kuwa huyu si mwana siasa bali ni Msaka Tonge. Binafsi siamini na kamwe sitaamini maneno ya mtu aliyetoka upinzani na kuhamia chama tawala hata kama katoka chama kidogo sana katika harakati za upinzani. By the way, huyu dada malalamiko yake si juu ya...
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa uchaguzi makini mlioufanya. Hata mlipotupiwa propaganda Igunga kupitia kwa mkuu wa Wilaya ati kavuliwa Hijabu mlidaka propaganda hizo na kuzifanyia kazi et CHADEMA wasipigiwe kura kwa sababu wameudhalilisha Uislamu. Haya ndiyo matokeo ya nyuma ya pazia...
Hli jambo lina mahali lilipoanzia si bure. Kwa muda wa zaidi ya wiki sasa chokochoko za namna hii zimekuwa zikiendelea halafu hakuna kiongozi aliyejitokeza kukemea. Damu za watu zimwagike kwanza ndipo viongozi wetu waanze kushindania ufundi wa kutoa matamko yasiyo na tija kwetu tena. Hiki ndo...
Nani atakuwa mjinga kati ya Mh. Mbatia aliyesema serikali haina mitaala ya Elimu na Mh. Waziri aliyesema ipo na kuahidi kuileta na Prof. Galabawa anayesema huo waraka unaoitwa mtaala haupo? Zingatia kuwa ni kweli kabisa kila kinachofanyika shuleni ni mtaala na ndiyo maana tuna aina za mitaala...
Hapa wanajamvi ukweli ni kwamba hakuna ziara ya Naibu waziri hapa Kibondo. Mimi niko Kibondo na naibu waziri aliyeko mkoani hapa ni Philip Mulugo wa Elimu na kazi iliyomleta kamaliza mkoani kwa aliyefuatilia habari za saa mchana wa leo ITV atakuwa anajua kilichowapata wakuu wa shule za sekondari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.