- Thread starter
- #21
nasikiaga uchungu na hasira sana kusikia mtu huyu anae jitolea kwa ajili yetu afu vilaza vinakuja kumkashifu
Hata wakihangaika kumkashifu wanapoteza muda wao.
nasikiaga uchungu na hasira sana kusikia mtu huyu anae jitolea kwa ajili yetu afu vilaza vinakuja kumkashifu
Jembe wakati mzuri wa kujenga chama
Dr Slaa ni mtu mwenye heshima sana na bidii ya kazi. Hakuna mtu ndan ya ccm anayeweza hata kusogelea. Ukitaka kucheka jaribu kumfananisha na W.Mkama, yule babu anayejua misamiati ya kiingereza tu, wakati chama kinazama kwenye kilindi.
Big up Dr Slaa, una hazina ya heshima nyingi toka kwangu.
Slaa ni baba wa ukombozi wa tanganyika, baada ya nyerere slaa ndio shujaa wa taifa. mungu amjalie maisha marefu
Katibu mkuu wa CDM Dr
Wilbroad Slaa ameelezwa kuwa mpiganaji asiyechoka kutokana na kazi kubwa
anayofanya huko kusini tangu CDM ianze operesheni Okoa Kusini wiki moja
iliyopita.
Taarifa kamili zinasema Dr Slaa amekuwa akihutubia mikutano mitatu kila
siku ambapo kwa siku zote hali chakula chochote mchana kutokana na
kubanwa na muda.
Baada ya mikutano Dr Slaa anaongoza mikutano ya ndani mpaka saa 6 usiku
na kisha anakuwa wa kwanza kuamka na kuwaamsha vijana wake waanze siku
nyingine ya mapambano.
Imedaiwa pia kabla ya kila mkutano Dr Slaa anazindua matawi katika mitaa
yote ya eneo husika.
Source: Kamanda Mwesilwa Perfect aliyeko kikosi kinachoongozwa na
Dr Slaa katika operesheni okoa kusini.
Huwa ninashangaa sana kigezo kilichotumika kumpa Mukama uongozi mkubwa CCM.
Huwa ninashangaa sana kigezo kilichotumika kumpa Mukama uongozi mkubwa CCM.