Recent content by Gathers

  1. Gathers

    Serikali yaanza kutoza faini kwa kila kilo ya nyama iliyopita muda wake

    Huu ni upumbavu kabia mnataka wateja walishwe vyakula vivyoisha muda wa matumizi kwa kisingizio cha uhuru wa biashara? Hili ni zoezi zuri na linapaswa kuwa endelevu.
  2. Gathers

    Uzinduzi barabara Kimara-Kibaha: Rais Magufuli asema hakuna atakayelipwa fedha za fidia kwa kubomolewa nyumba

    Always Paul Makonda is a zero brain......hata umuandikia hataweza kusoma.
  3. Gathers

    Uzinduzi barabara Kimara-Kibaha: Rais Magufuli asema hakuna atakayelipwa fedha za fidia kwa kubomolewa nyumba

    Ni upumbavu kusifia kiasi chako cha ujinga......East Africa hadi America ni nini Mh.Zungu? Naona hata wenye uelewa wao wanajitahidi kuujaribu"ujinga"! Bora kukaa kimya tu kuliko kuongea upumbavu kama wa Mh.Zungu.
  4. Gathers

    BASATA wanatoa wapi mamlaka ya kuzuia show za nje za Wasanii?

    BASATA hawajitambui hawana mamlaka ya kumfungia msanii nje ya mipaka ya Tanzania......vinginevyo msanii huyo awe ametenda jinai nalo sio BASATA tena.....ACHENI ROHO ZA KIMASKINI ALIYE JUU YUPO TU....VIVA DIAMOND...VIVA TANZANIA!
  5. Gathers

    Rais Magufuli aambiwe ukweli

    uongozi wa hovyo hovyo huzaa serikali lege lege
  6. Gathers

    Rais: Serikali Inadaiwa Billion 200 na mifuko ya Pensheni

    Rais Magufuli hadi anatia kinyaa sasa kila kitu anakisemea yeye! Kwa nini asiwape wataalamu aliowateua kutoa ufafanuzi kuhusiana na mambo ya kitaalum? Watanzania tuliuziwa Mbuzi kwenye GUNIA na NEC ya JK......Makanisani ni yeye,Misikitini ni yeye,Reli ni yeye,Tanesco ni yeye,Maji ni...
  7. Gathers

    Wakuu wa nchi wakutana Vienna, Austria (Africa Europe Forum 2018) sisi tuko wapi?

    Nchi zote zina wawakilishi wake acheni ushamba.......ambao hatukupeleka wawakilishi basi balozi husika atawakilisha nchi kwa kutoa salamu tu....!
  8. Gathers

    Mtazamo mbadala kuhusu Matamko ya Umoja wa Ulaya na Marekani

    Hoja za kinafiki kabisa ......Rais mwenyewe anafurahia hawa nyie mnaowaita "mabeberu"wanapokuja na misaada yako.....leo mnaanza kuzuga kuhusu raslimali zetu .....ni raslimali gani hizo na zinatusaidia nini kama nchi wakati uchumi wetu upo ICU? Kilichowazi hapa ni kwamba Mh.Rais Magufulu...
  9. Gathers

    Wakuu wa nchi wakutana Vienna, Austria (Africa Europe Forum 2018) sisi tuko wapi?

    Hapa ni lazima watanzania tuhoji kulikoni? Mikutano mikubwa ya kimataifa kama hii ndio sehemu muhimu na sahihi za viongozi wetu kuonyesha ukomavu wao kiutawala. Ajitokeze Waziri Mahiga,Msemaji wa Serikali Dk.(?)Abbas na mwingine yeyote watuambie awamu ya tano wanaipeleka wapi Tanzania. Akina...
  10. Gathers

    Nawashangaa sana wanaofurahia ya EU

    Serikali kuhusishwa na shambulio la Mh.Tindu Lissu una ufafanuzi wowote?tusiwe vigeugeu na malimbukeni wa kusaka tonge tu.....Rais Magufuli na vibaraka wake akina Paul Makonda wanaipoteza Tanzania katika ramani ya dunia kwa mambo yao ya chuki binafsi,uchu wa...
  11. Gathers

    KICHERE :MENEJA WA TRA ATAKAYEFUNGA BIASHARA YA MLIPAKODI KUKIONA

    Huyu Kamishna hatoshi kabisa hiyo nafasi maana amekuwa mzembe sana kwenye swala zima la kodi
Back
Top Bottom