Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Nawaona Rais wa Rwanda na Kenya Huko kwenye mkutano wa Africa Europe Forum 2018 Vienna Austria, Swali langu linakuja Nchi ya Rwanda inaweza ikaalikwa na nchi ya Tanzania isialikwe kweli ? kama hatujaalikwa tatizo ni nini, tumewakosea nini.