Recent content by Gaspare Mbile

  1. Gaspare Mbile

    Sawa una First Class degree, una A ya Hesabu na wewe ni best student. So what?

    Kwahiyo hizo Big 4 ndiyo kampuni zinazolipa vizuri kuliko sehemu yoyote Tanzania?
  2. Gaspare Mbile

    Mwigulu Nchemba acha kutuchonganisha na Rais Samia, umeanza kumshauri vibaya

    Una uhakika wenye nyumba watakubaliana na hilo wazo?
  3. Gaspare Mbile

    Mfumo wa kuwapata Wakurugenzi wa Halmashauri uwe wa kuomba kazi, wanaopata ndio wateuliwe

    Siyo kwa CCM hii kaka, wanateua wale ambao watakubali kumtangaza mgombea wa CCM hata kama hajashinda uchaguzi.
  4. Gaspare Mbile

    Kampuni ya YÜTEK ya Uturuki yasaini mikataba ya ujenzi wa meli

    Kwahiyo Air Tanzania inapeleka Bidhaa za watanzania nje kwa sasa? Ina ndege ya mizigo?
  5. Gaspare Mbile

    Maoni: Dkt. Batilda Buriani ameshushwa mno kuteuliwa kuwa Katibu Tawala

    Basi akatae akawachie wengine, hao washazoea hela za siasa, hawawezi kaa nje ya system, hapo alipo anashukuru sana
  6. Gaspare Mbile

    Serikali awamu ya Sita ni butu? Makampuni ya simu yameipuuza

    Hiyo inaitwa ‘Ya kwako tu’ unapewa offer kulingana na profile lako, cha ajabu mtumiaji mzuri ndiye anabanwa kwenye offer!
  7. Gaspare Mbile

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kwahiyo Kiongozi wenu shupavu aliweza ongeza matumizi ya gesi kwa kila mtanzania? Eti kuajiri kunaenda kwa awamu, huyo mwendazake Mbona hata hawamu hakuweza? Mbona Tigopesa siku za karibuni ilipata tatizo week nzima, hivyo pia ni udhaifu wa mama?
  8. Gaspare Mbile

    Profesa Ndalichako: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo kwa njia mbadala

    Hiyo imewekwa ili mwanafunzi wa kike kuingia naye kwenye mahusiano ya kimapenzi uone kama kituo cha polisi, wakiruhusu na mwanaume aliyempa mimba aachiwe huru, hawa boda boda watazalisha sana wanafunzi wa kike.
  9. Gaspare Mbile

    IKULU, Dar: Rais Samia Suluhu apokea hati za Mabalozi

    Kama kweli kasema hivyo, Haya basi flights gani zimesitisha safari kuja hapa nchini kutokana na hilo?
  10. Gaspare Mbile

    Faida ya kuzungukwa na watu wenye akili

    Ukikaa kipumpavu pumbavu kwenye nchi yako acha Wakenya waje wachukue nchi, sasa umekaa kijiweni unacheza bao halafu analalamika Wakenya kuja kuchukua nchi!
  11. Gaspare Mbile

    Baada ya Magufuli, TANESCO wanaanza kata kata ya umeme

    Sijajua maeneo mengine ila Dar es salaam Mbezi Kimara toka enzi za hayati mpaka dakika hii umeme huwa unakatika mara kwa mara
  12. Gaspare Mbile

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Na vipi kutegua kitendawili kilichomshinda hayati takribani kwa miaka 6, cha kupandisha madaraja watumishi wa umma? Au huo siyo uthubutu?
Back
Top Bottom