Kwahiyo Kiongozi wenu shupavu aliweza ongeza matumizi ya gesi kwa kila mtanzania? Eti kuajiri kunaenda kwa awamu, huyo mwendazake Mbona hata hawamu hakuweza? Mbona Tigopesa siku za karibuni ilipata tatizo week nzima, hivyo pia ni udhaifu wa mama?
Hiyo imewekwa ili mwanafunzi wa kike kuingia naye kwenye mahusiano ya kimapenzi uone kama kituo cha polisi, wakiruhusu na mwanaume aliyempa mimba aachiwe huru, hawa boda boda watazalisha sana wanafunzi wa kike.
Ukikaa kipumpavu pumbavu kwenye nchi yako acha Wakenya waje wachukue nchi, sasa umekaa kijiweni unacheza bao halafu analalamika Wakenya kuja kuchukua nchi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.