Siyo hivo tu mkuu mfano kutoka kakonko kwenda makao makuu kigoma ni afadhar ukaenda mwanza make mwanza ni karibu kuliko kakonko kigoma, Muda mwingine mi naona ni kusogeza huduma karibu na jamii.
Muleta maada kaandika kabisa kwamba lisu anakubaliana na msimamo wa katiba ambayo ndo serikali inaitumia saiv. Ko sion kama yuko tofauti na waliopo maana yake kama serikali ya sasa inaruhusu nayeye analuhusu kama inakataza na yeye anakataza isipokua kasema kama kweli wanataka ikatazwe kisheria...
Habari wanajukwaa,
Kuna hili suala la usajili wa wataalamu wa maabara Tanzania, hili ni jambo zuri ili kupata wataalam waliokidhi vigezo vya kutoa huduma.
Nina tatizo juu ya utaratibu unaotumika, wao husajili mtu kwa kumpa hati ya muda(provisional registration) ambayo huitumia kwa miezi kumi na...
Kwahiyo ni sifuri gawia mbili eti.
Nimejaribu kupitia majibu yao na nimegundua kuwa majibu yetu sote yako sahihi, ya kwao na ya kwangu pia. Sema tu safari hii walichofanya ni kwamba wamerekebisha maumbo husika, badala ya kuchukua umbile zima la swali kama lilivyokuwa mwanzo, wamechukua nusu...
Kesho ukiona ndugu yako kazidiwa na jukumu la kumuuguza ni lako, kanidham katarudi.
Hawana lolote kwani walilazimishwa kusomea fani hiyo. Ni wajibu wao hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.
Kada zingine mbona hawana kelele???
wapige kazi hatukuwatuma kusoma udaktari msitusumbue.
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.