Recent content by gashambala uwezo

  1. G

    Hoja ya upinzani kwa sasa ni ipi hasa?

    chakusema hakiwezi kukosekana...............na kwa kuwa makufuli yuko anafanya kazi ambayo wapinzani wangefanya , nadhani sasa ukawa watampa sapoti kubwa makufuli,,,,,,,,,,,,,,,,,hata hivyo nyinyi ccm mbona tulikuwa unawambiwa udhaifu wa kikwete wa serikali yake munakataa?
  2. G

    Magufuli awakonga nyoyo Afrika Kusini

    tafuta mtu akutafsilie,,,,,,,,nadhani lugha aliyotumia mwandishi imekuwea ngumu hili hujaliona ?He fired Tanzania?s chief of revenue after 350 containers listed in his books disappeared from Dar es Salaam harbour......................( The Bulldozer;? yeah, that?s what they?re calling him...
  3. G

    Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

    hilo ndilo jibu,..........tena ukawa tuwaombee uimalike zaidi.
  4. G

    Wahusika wakuu wa Makontena bandarini hawa hapa

    dahaaaaaaa,,,,,,sasa Mungu ametuona.
  5. G

    HomeShopping: Namna walivyokuwa wanapiga Madili Bandarini Pasipo Kulipa Kodi

    sasa kama ni hivyo mbona ...na kikwete atakamatwa sasa,,,,ndio maana kalidhione nikabilionea?
  6. G

    Ukweli utakuweka huru: CHADEMA mbioni kufa?

    tena kama nyinyi munaipenda nchi hii,,,,,,yatupasa tuombe sana upizani uendelee kuwepo.......hata haya ya Magufuli tusingeweza kuyasikia pasipo ......wapizani,,,,,,,,,,,,,,,,hata hivyo njoja tuone bunge linaloanza January tuone ukawa wamejipangaje,,,,,,,,,,,,,,,dalili ninazoona , huenda ccm na...
  7. G

    Shule inayofundisha Kifaransa Jijini Mwanza

    Ndiyooo, jamani ,,,anajua anisaidie kuna dogo nataka nimuhamishie hapa jjini mwanza , alipokuwa walikuwa wanasoma French,,,,,,,,mwakani nataka ahamie form three........please any know this.
  8. G

    Kashfa Bandarini Dar: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade

    By RockSpider Wakatoliki wako Aggressive sana ... wakijatahamaki itakuwa amewaondoa Waislam wote kwenye ngazi za Maamuzi ... CCM Oyee ... Bandika Msalaba! Hapa Kazi tu ... Wataisoma number..................huuu ni upeuzi kabisa ulioandika hapa,,,,,,,acha kabisa kutuhamisha...
  9. G

    Kashfa Bandarini Dar: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade

    leo nilikuwa benki ya equity walikuwepo watu kama wa tatu hivi, watanashati kweli........wakiongelea speed hii ya mheshimiwa ,wakasema kwa speed hii, ni lazima wazee watamwita wamukanye, na asione hawajasema kitu, wako wanatunga sheria,,,,,,,,,,,,,,walionekana wazi kabisa hawana...
  10. G

    Shule inayofundisha Kifaransa Jijini Mwanza

    habari wana jamvi, kwa ambaye anajua shule zifundishazo french jiji la mwanza naomba anijuze , p'se Asante.
  11. G

    Matokeo ya uchaguzi mdogo kata ya Bomang'ombe jimbo la Hai

    mbona watu wanasema eti mbowe ......hajafanya kitu Hai......lakini naona hapa wamedhibitisha kuwa na imani naye, viva Kamanda Mbowe
  12. G

    Dr. Tulia achukua fomu ya kugombea Unaibu Spika CCM

    yeye ni Bendera fuata upepo .....anaelekezwa cha kufanya, fanya hv , fanya vile bc
  13. G

    UKAWA wabadili gia angani, Rais Magufuli kutohutubia bunge

    huu mpango nadhani waweza kuwa wakweli, make ndio maana hata marehemu Alphance Mawazo ....atazikwa baada ya mchakato wa huko kuisha..........ili timu zima ukawa iweze kuhudhuri maziko..........Dahaaaaaaaaa
  14. G

    Vigezo vya uteuzi wa wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA vyawekwa wazi

    aca wewe sisi tunasonga mbeleeeeeMalafyale;14587295]Na yule dada aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mbulu Anna Kideria ilikuaje akapata nafasi?Vipi kuhusu mwana CCM Miss Kabongo?Hata kama Lowassa aliwachagua CC ingekataa sababu walikuwa bado ni wana CCM! Aheri tuendelee na CCM yetu kuliko CHADEMA...
Back
Top Bottom