Recent content by gasamcha

  1. G

    Mwigulu Nchemba auvuruga upinzani Morogoro. Awaasa wananchi kuachana na viongozi wabaguzi, wabinafsi

    Sana hali mbaya sana kwa upinzani hasa hasa kwa Chaga Development Manifesto (CHADEMA) japokuwa hawataki kukuri... nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi!
  2. G

    Tamko la awali la CHADEMA kupinga uchaguzi mdogo wa Chalinze

    Hii ni Chaga Development Mission Agency... CHADEMA
  3. G

    Tamko la awali la CHADEMA kupinga uchaguzi mdogo wa Chalinze

    Hii ni Chaga Development Mission Agency... CHADEMA
  4. G

    CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

    What about Chaga Development Mission Agency...CHADEMA?
  5. G

    What is CHADEMA?

    Kwa taarifa yako tu, kama hujui tafadhali leo tambua kuwa CDM ilianzishwa kama wakala wenye lengo la kuwanufaisha wachaga... kirefu chake ni Chaga Development Mission Agency... sasa tusishangae tukiona leo hii wanakumbatia ukanda na ukabila. Wengine waliopo hapo ni hadaa wao ndiyo origino...Hii...
  6. G

    Mgombea Ubunge wa Chalinze Kupitia CCM Mama yake Mzazi yuko wapi?

    Huyo mama yake mzazi wewe anakuhusu nini... jadili mambo ya msingi na acha hoja za majungu kuzungumzia mambo ambayo hayana tija. Acha ujinga!
  7. G

    Yaliyojiri katika Uchaguzi mdogo jimboni Chalinze - Aprili 6, 2014

    Ni kweli mkuu... ile CDM ni Chaga Development Mission Agency ukipenda...CHADEMA
  8. G

    CCM yahitimisha kampeni zake za Jimbo la Chalinze kwa kishindo

    Nimeambiwa kirefu cha CHADEMA ni Chaga Development Mission Agency hiki chama ni kama wakala wa kuendeleza missions 'mipango' ya maendeleo kwa wachaga tu... wengine ni kama hadaa tu!
  9. G

    Mjadala wa Rasimu ya Katiba: Sura ya Kwanza na ya Sita

    King nimekubali mkuu mawazo yako... serikali moja ndiyo mpango!
  10. G

    CHADEMA vipi!

    Inasemekana cdm wameshashindwa uchanguzi in advance kule Chalinze. Ni jimbo inasemekana limekosa mvuto kwa Slaa na Mbowe na Lema amegoma kisa eti walimwachia kwa sehemu kubwa kule Kalenga, sasa ni zamu yao!
  11. G

    Chalinze: Ridhiwani achafuka

    Propaganda chafu hiyo vuta-nikuvute. So long unajulikana upande wako ni upi hiyo haiumi asilani. Ukweli ni kwamba cdm washashindwa in advance!
  12. G

    Salaam za CHADEMA toka Chalinze, watu hawamjui mgombea wenu

    Acha kutukana watanzania jnuswe... kama CCM inapendwa na wajinga basi wote walioichagua ccm uchaguzi mkuu uliopita ni wajinga... sasa piga mahesabu ni watanzania wangapi walichagua hicho chama. Busara na hekima ni muhimu kabla hujasema chochote. Kuwa mstaarabu!
  13. G

    Chalinze wakerwa na mtoto wa Mfalme Kikwete

    Mkuu Crashwise, mimi mwenyewe nilikuwepo kwenye hiyo kampeni. Hakuna kitu kama hicho usiwaongopee wanajopo hapa. Kuhusu kunawa mikono ni jambo la kiafya... unaposhikana na mikono na zaidi ya watu 1000, ni jambo la kawaida sana na wala si kudharau watu ulioshikana nao mikono, ni kanuni tu za...
  14. G

    Ridhiwani mgombea asiyejua kilichomo kwenye kipeperushi chake, picha

    Kuangalia kipeperushi chake si kwamba hajui kilichomo mkuu... hata wewe unaweza kuwa unaangalia kila wakati kazi uliyoitayarisha. Inawezekana kabisa ni kwa kujiridhisha ama kuboresha maeneo muhimu na kuongeza points kulingana na mazingira unayokutana nayo toka eneo moja kwenda lingine! Nataka...
  15. G

    Gazeti laomba radhi kwa kuchapisha picha inayomlinganisha Obama na nyani huko Ubelgiji

    Belgium newspaper apologizes for depicting Obama, the president of USA and his wife Michelle, the first lady. It's pity...
Back
Top Bottom