Mkuu vipi na yale makombora ya Epa, Escrow, Twiga kupanda ndege,wizi wa mitihan kwa January, Mabehewa feki, ATC, madawa ya kulevya,barabara kupunguzwa upana,
Nayo ameyalipua
Mkuu kwa jinsi ulivyoandika unatakiwa umpe kura yako lowassa ili ufaidi kusoma bila kulipa ada,
Maana kama unalipa ada na unaandika hivi :-( dah! Kweli ccm inashabikiwa na wendawazimu
Hasara mtakayoipatata ninyi haitazidi ya Chadema,
Hv unajua gharama za kumu accommodate Rais awapo mikoan wewe,Muulize Jk kwa nin anapiga kampen na ni Tsh ngapi kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.