Recent content by Garumondo

  1. G

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    siwezi kuthibitisha kuwa roasa nifisadi ila malializo nazo na alivyo tumia pesa kuhonga wapiga kura akisaka urais toka ccm hadi ukawa inatisha, naalizipata wapi,kwa biashara ipi, nachoka sana nahuyu mzee angepata urais ingekuwa shida maana asingejali wanyonge hata kidogo matajili ndio wange kula...
  2. G

    Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

    vipi huyu anayehoji mapato ya ccm huyo kachanganyikiwa yeye simwana ccm ndiyo anahoji mapato yake hiyo nisawa nakuhoji mali ya jirani yako katoa wapi wakati wewe huna,
  3. G

    Safu mpya ya CCM: Mniombee, nakaribia kuingia Kamati Kuu au Sekretarieti

    tukuombee upate kamati kuu bila kuwa mwanachama wa ccm subutu. he utasubiri sana
  4. G

    Natangaza kususia sherehe za uhuru wa Tanganyika zitakazofanyika uwanja wa uhuru , D'Salaam

    wewe sio msomi ni muhuni wa siasa unachanganya uhuru wa nchi yetu na sasa ya chama chako, hivi ukisisia wewe sherehe zinapungukiwa nini?
  5. G

    Hofu ya vurugu yatanda Mwanza: Wafanyabiashara wapanga kuchoma makanisa, misikiti na maduka

    wewe mbona mwanza imetulia, wewe unadhani mza ya leo ndiyo mza ya zama zile za wanasiasa uchwala ya kuchochea vurugu
  6. G

    Siri yafichuka! CCM mwaka 2020 jiandaeni kupambana na huyu

    aaah ni Benard Membe nini?
  7. G

    TANGAZO: Mkutano mkuu wa wazi wa CHADEMA hapa JamiiForums

    mbona agenda ya kukwama kwa ukuta haipo,
  8. G

    Lema, Mbunge anayekitia chama hasara

    ukiona amepewa dhamana,nenda ukamsihi aache kuropoka ropoka ovyo
  9. G

    Hashim Rungwe: Mlininyima kura za urais, njaa inayowakabili na iwatafune

    tatizo lako ulifanya kampeni kwenye magulio,minada,sitendi zamabasi na daradara, wengi tulizani babu anatangaza biashara furani hivi,.lo! sijui 2020 utakuwa baado unasifa kweli?
  10. G

    CCM chukueni hatua ya kumhoji Bashe ili athibitishe tuhuma zake

    unajua bashe kimwili yuko ccm kwasasa alipo hama rafiki yake kwenda upinzani basi kwa sasa yeye siasa alizo nazo niza upinzani sio ccm
Back
Top Bottom