siwezi kuthibitisha kuwa roasa nifisadi ila malializo nazo na alivyo tumia pesa kuhonga wapiga kura akisaka urais toka ccm hadi ukawa inatisha, naalizipata wapi,kwa biashara ipi, nachoka sana nahuyu mzee angepata urais ingekuwa shida maana asingejali wanyonge hata kidogo matajili ndio wange kula...
vipi huyu anayehoji mapato ya ccm huyo kachanganyikiwa yeye simwana ccm ndiyo anahoji mapato yake hiyo nisawa nakuhoji mali ya jirani yako katoa wapi wakati wewe huna,
tatizo lako ulifanya kampeni kwenye magulio,minada,sitendi zamabasi na daradara, wengi tulizani babu anatangaza biashara furani hivi,.lo! sijui 2020 utakuwa baado unasifa kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.