Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,488
- 17,350
Mama anamalizia UWT akalee wajukuu zama zake zimepita! Hakuna wa kuzaa nae tena kwa sasa ile mbinu imepitwa na wakati
Duh hivi yule Mama wa UWT aliyekataa kata kata jina la Laigwanan Mkuu kukata atakuwemo kweli maana sijamsikia miongoni mwa majina ya mabalozi wapya pamoja na kufungua balaozi kadhaa lakini wapi Mama hayumo ?.Huu si uonevu wa kina Mama wanataka 50 / 50 sasa ikiwa wanaume wanateuliwa 15 halafu kina Mama wanne unafikiri hiyo 50 / 50 itafikiwa lini ????.