laki si pesa;Kama ni mgeni basi umekosea njia , huku hamna wala ganja wenzako
jibu kw hoja..nashukuru umeprove hapa kuwa ccm imeishiwa hoja kwa kujaribu kuleta mada za ganja..leta jibu zuri au na ww umeshaelekea kibra?kula za uso
mm mgeni humu wajameni ila nimefuatilia bunge leo nimegundua kuwa chama cha mapinduzi kimejiweka pahala pabaya sana.
kuna skendo kibao zinakisonga hiki chama na kibaya zaidi watu wanatoa hoja za kuibana serikali ya ccm ambazo ni wazi kila mtu anajua.
suala la michango y maabara.iptl.msd.wizi...
binafsi nakerwa sana na hii tabia ya wamiliki wa mabasi haswa mikoani.abiria mnalipa nauli halali kabisa ila inapotokea gari limeharibika njiani siku zote abiria tunanyanyasika sana.wahusika wanakuwa na majibu ya hovyo na kutoa taarifa za uongo bila kujali kuwa kila mtu anajali shughuri zake na...
kuna watu hatuwezi kumaintain mapenz hata kw mwez m1 tu.hii ipo unakuwa ni mtu wa kutamani tu sio kupenda na tunatumia mbinu nyingi sana kujustify matendo yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.