binafsi naona km dunia kwa ujumla haijatakaga kupiga vita hili suala hata kdg isipokua wanaliendeleza kwa hatua ndog ndog mpk apo baadae litakuja kuchukuliwa n suala la kawida tu..
sitaki kuamin kwmba tatizo n ushoga km ambvyo dunia inapga vita na kulikemea hilo suala, ila naamin kwmb ttzo...
huenda ikawa n nyie wanaume mnatoka mikoan kuja dar, mnakutana na changamoto kdg tu mnajidedisha kabisa lkn lawama znakuja kwa sie bon tawa..
lait ingekua n tabia ya wanaume wa dar especially wa born here here, basi ingekua dar hakunaga wanaume mpk sasa,
kwhy apo tatzo lako ilkua n ww kuombwa hela ambzo hukuwa nazo ama hukuweza kukidhi..?
ama n ww kushindwa kumridhisha mkeo kwa kisingizio cha stress na wakat hizo stress unadai ziliondoka indirectly baada ya kupewa dawa,..
na obvious kabisa hata ttzo lako basi hukulijua ofsa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.