Ukitaka mdahalo awe Magufuli na Lowasa sio Lowasa na Sita. Sita hana hadhi ya kujadili na Lowasa kwa sasa. Ulishawahi kuona wapi mdahalo wa mgombea ubunge kwa mgombea urais? Mgombea ubunge kwa mbunge. Urais kwa Urais.
Hivi EL akiwa rais Lembeli , Bulaya na wengine waliotoka ccm wawe wabunge. Nchi itakuwa inaongozwa na ccm B au ukawa??. Wajumbe mnasemaje ni mtazamo tu
Hivi kumfanya Lowassa kwa kipindi kifupi kuendana na mfumo wa CHADEMA na UKAWA. Mfumo ambao hata UKAWA wenyewe bado unawasumbua. Akipewa nchi katika hali hiyo ataweza kubadilisha chochote au atakuwa bora liende?
Nawaza kwa sauti tu wapendwa, naomba mnisaidie kuwaza please.
Huyo ni nyoka anaeitwa msanga. Tabia yake ni kuishi kwenye maeneo ya mchanga na huwa wanakaa wengi kwenye shimo moja. Sio nyoka mkorofi ila ukimchokoza anaweza kukudhuru. Ukimuua mmoja usilidhike kuwa umemaliza tafuta shimo lake maana hukaa shimoni ,Utakutana na wengine tu.
1)Kuokoka maana yake kumuamini Yesu kuwa na kutubu dhambi zako zote ili kusamehe. Yohana 1:12 biblia inasema wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu. So kuokoka ni kufanywa mwana wa Mungu.
2) Inawezekana kuokoka ukiwa ukiwa dunia. Biblia inasema baada ya kifo ni hukumu. Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.