UKAWA/Chadema ikishinda mnashabikia na kusubiri neema itabidi muwe wavumilivu kwa takriban miaka 15 kabla mtz mmoja mmoja kufaidi matunda ya mabadiliko (kama itatokea ukawa kushinda). miaka 5 baada ya kushinda ni ya kusherehekea kuiondoa ccm, kujipanga vyama vilivyounda ukawa, kushuhulikia migogoro ya kugawana nafasi va vyeo serikalini itakayoibuka kila kukicha baina ya vyama vinavyounda ukawa; miaka 5 mingine (kama wataendelea kushinda) ni ya kuanza utekelezaji wa ilani ya ukawa/chadema; majibu ya utekelezaji huo yanaweza kuonekana miaka 5 itakayofuata!
japo ndo mawazo yako bt
always non sens...japo