Hapa Lowassa ataweza kweli!

Hapa Lowassa ataweza kweli!

UKAWA/Chadema ikishinda mnashabikia na kusubiri neema itabidi muwe wavumilivu kwa takriban miaka 15 kabla mtz mmoja mmoja kufaidi matunda ya mabadiliko (kama itatokea ukawa kushinda). miaka 5 baada ya kushinda ni ya kusherehekea kuiondoa ccm, kujipanga vyama vilivyounda ukawa, kushuhulikia migogoro ya kugawana nafasi va vyeo serikalini itakayoibuka kila kukicha baina ya vyama vinavyounda ukawa; miaka 5 mingine (kama wataendelea kushinda) ni ya kuanza utekelezaji wa ilani ya ukawa/chadema; majibu ya utekelezaji huo yanaweza kuonekana miaka 5 itakayofuata!

japo ndo mawazo yako bt
always non sens...japo
 
hawez. ni vurugu. co ukawa tu hata chadema na mfumo wao wa majimbo sijui kama atauweza. pia siamin kama lowasa akishinda urais itamaanisha chadema wameshinda au ukawa wameshinda au mtandao wa lowasa umeshinda au matajiri wa TZ wameshinda au team lowasa na frienda of lowasa wameshinda. Sielewi itamaanisha nn hasa.

hizo so hoja Ni hofu,pigeni kura Oct 25 tuache hofu lowasa ni mzoefu ktk utawala.
 
anavyoweza kubadilisha vipo vingi sana, vilivyo dhahiri ni pamoja na:-

First lady hatakuwa tena salma, badala yake atakuwa Regina.

nguvu ya umma atakuwa anaiona kila afumbuapo jicho na kuiheshimu kwa kuwa anajua muziki wake.

Atakuwa tayari kuongozwa na maamuzi ya vikao vya haki.
Hapana sina imanai hiyo kwa sababu kwanza ametumia pesa yake kupata nafasi huko chadema...ame nunua watu kila kona nahisi atakua na kiburi tuu kuwa pesa yake takua imefanya kazi na si vinginevo
 
Hivi kumfanya Lowassa kwa kipindi kifupi kuendana na mfumo wa CHADEMA na UKAWA. Mfumo ambao hata UKAWA wenyewe bado unawasumbua. Akipewa nchi katika hali hiyo ataweza kubadilisha chochote au atakuwa bora liende?
Nawaza kwa sauti tu wapendwa, naomba mnisaidie kuwaza please.

Lowasa yupo mguu ndani mguu nje anatafuta urais kupitia ukawa lakini bado ni ccm damu.Ukweli huu utagundulika mara baada ya uchaguzi
 
Utaweza choma nyumba yako alimradi tu nyoka afe?Hzo zitakuwa akili za kutilia walakini.

Inategemea na madhara ya huyo nyoka,pamoja na gharama ya hiyo nyumba..lakini kwa CCM acha tuchome nyumba
 
..yaani haujajipanga alafu na sie tukubali uwe rais wa ilimradi? kama ni hivyo ni bora tukahairisha uchaguzi kwanza vinginevyo hatutaki majaribio Ikulu
kwa hiyo tukiahirisha uchaguzi tunawapeleka ikulu wakafanye majaribio kwanza?
 
Tutajuana baada ya kumuondoa fisiemu kwanza,. Hii nchi ni kubwa kwa vyeo kwa eneo..! Wataenea wote.! We tulia utacheki
 
japo ndo mawazo yako bt
always non sens...japo

Call it nonsense but coz of your ignorance you don't even realize that ushabiki wako wa kibubusa has killed your brain!! Utaendele kuishi kwa matumaini hadi unaingia kaburini. Sio chadema/ukawa wala ccm itakayobadili maisha yako punguwani wewe! Ni jasho lako wewe mwenye we takataka wewe
 
Unajisumbua kaka make wao wanasema bora tu wapate urais eti mengine yatajitengeneza yenyewe ..Wanahisi kuwa rais ni ngekewa basi ilimradi liende ..yaani haujajipanga alafu na sie tukubali uwe rais wa ilimradi? kama ni hivyo ni bora tukahairisha uchaguzi kwanza vinginevyo hatutaki majaribio Ikulu
Tuahirishe uchaguzi ili tuendelee kuongozwa na nani?unafikiri wote twafurahia tunachofanyiwa na serikali hii?
 
kwa ccm,ni afadhali kuibomoa nyumba na kuanza kujenga nyingine kuliko kukarabati hili gofu.
 
Call it nonsense but coz of your ignorance you don't even realize that ushabiki wako wa kibubusa has killed your brain!! Utaendele kuishi kwa matumaini hadi unaingia kaburini. Sio chadema/ukawa wala ccm itakayobadili maisha yako punguwani wewe! Ni jasho lako wewe mwenye we takataka wewe

sasa punguani nani hapa?anayetukana au mtukanaji?functions of the government are well known and one of them is to promote welbeing of its people!sasa msomi kama wewe unaposema si ukawa wala cdm itakayokuletea maendeleo tukueleweje?
 
japo ndo mawazo yako bt
always non sens...japo

watanzania wamevumilia kwa miaka 50,hiyo 15 itawashinda?watu wamejimilkisha nchi kama yao,wengine tumekuwa kama wapangaji muda wote,then watwambia tuwe na imani na ccm?
 
Mkuu kumbe wewe upo mbali sana, lengo kubwa hapa kwanza ni kuondoa hiki chama dola kwanza, kama walivyofanya kenya kwa KANU, ili uwanja wa siasa uwe sawa kwa vyama vyote, na huko mbeleni kila chama kitakuwa na uwezo wa kuongoza nchi kama kitajipanga vizuri tu, hili dudu life kwanza. Ndio maana hata juzi nilimsikia prof. kitila mkumbo anasema ni kweli cdm na lowasa hawaendani ki sera na huko mbeleni watatofautiana tu, ila sasa vyama vyote vya upinzani viungane kwa lengo moja tu la kuondoa chama dola, ili huko mbeleni iwe lahisi kwa vyama tofauti kuweza kutawala, bila hivyo itakuwa ngumu., na yeye analiunga mkono hili la ukawa na angependa chama chake cha ACT, hata kisisimamishe mgombea urais. Hili ndio lengo kubwa, na hata tukianza kuona hayo maendeleo baada ya miaka 15,mbona tutashukuru kwani miaka hii 50,ya ccm inalingana na maendeleo haya?? hadi leo maeneo mengi maji ya kunywa tu bado ni shida!! watoto wanakaa chini, kila sehemu ni misitu tu.

Ndg yangu sipo nyuma kama unavyofikiria. Inahitaji weledi wa kutosha kuweza kutambua janja ya mnaowashabikia.

In short, mnayoyatarajia mnaweza kuyapata may be in the short term, hasa kwa kuangalia malengo ya ukawa hadi wanapata mgombea uraisi.

But mark my words, UKawa is a potential source of instability, ineffective governance, and intergroup (coalition parties) conflict in the long term.

Ni afadhali chadema ingebaki peke yake with EL. sijawahi kuona chama kikubwa kukubali kugawana vyeo na madaka na vyama vidogo pasiwepo mitafaruku ndani yake.

Tuombe uhai
 
watanzania wamevumilia kwa miaka 50,hiyo 15 itawashinda?watu wamejimilkisha nchi kama yao,wengine tumekuwa kama wapangaji muda wote,then watwambia tuwe na imani na ccm?

Mkuu suala sio kua na imani na ccm au la the issue is you allow politicians to take advantage of desperation !!!
 
Hivi kumfanya Lowassa kwa kipindi kifupi kuendana na mfumo wa CHADEMA na UKAWA. Mfumo ambao hata UKAWA wenyewe bado unawasumbua. Akipewa nchi katika hali hiyo ataweza kubadilisha chochote au atakuwa bora liende?
Nawaza kwa sauti tu wapendwa, naomba mnisaidie kuwaza please.

Kwanza CCM itoke mambo mengine baadae
 
Hivi EL akiwa rais Lembeli , Bulaya na wengine waliotoka ccm wawe wabunge. Nchi itakuwa inaongozwa na ccm B au ukawa??. Wajumbe mnasemaje ni mtazamo tu
 
niliwahi kusikia kwamba nyoka akiingia ndani kwako unamuu kwa silaha yoyote ili mradi afe, usafi utafanya badae nyoka akishakufa, au wewe unawazaje

Usafi baadae au vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom