Iko hivi GPA haiokotwi ni inatafutwa kwa jitihada kubwa, kwa maono ya nje na ya kawaida maamuzi ya waajiri yanaweza kuwa mazuri, lakini critically hatuwezi kuamini kuwa GPA inabeba uhalisia wa utendaji kazi wa asilimia zote za muajiriwa, ila wakipata wamepata kwa sababu no good comes easier!!!
Mengi sana ila kwa uchache.
Mwalimu wa fizikia kidato cha 2-4
Baada ya matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha pili aliniponda mbele ya walimu wenzake kuwa.
"amebahatisha tu huyo hana akili ya kupata distinction"
Ashukuriwe Mungu aliye juu, miaka miwili iliyopita nimefanikiwa kumaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.