Acheni kurufanya kama sis ni mamburula mipango hiyo wanyo fanya ni ya kizamani tumeshituka serikali na ccm inataka kuwaaminisha wananchi kuwa mtwara kuna alikaida hivo waweke ulinzi wa kutosha wawadhibiti wananchi wa mtwara ili gesi itoke kiraini, hiyo ni mipango ya watu wachache wanaofaidika na...
Nina swali kwako mkuu! Huu walaka wa Paul kwa Timothy ulikua na maana gani na kwanini Paul aliandika hivo? Tukishajua nini kilijiri wakati ule mpaks Paul akaandika hivo basi uhalali wa kula vyakula tu kama ulivoyaandika hayo mafungu haupo!
Ucimkataze mkuu mi nimemuelewa halali na nywele hazioti kwa sabab ya kufikiria watanzania wanaojua siri zake za meno ya ndovu na wale wanao mfatilia na alisema atawashitaki lkn kaingia mitini labda atumbie atenda lini mahakamn?
Ni kweli hawa maccm hawana jipya na wasifikiri watanzania ni mamburula, wamejisahau sana ila wataona tutakavowafanya 2015, katiba hii wajue kabisa c o ya kwao ni ya watanzania na safari hii hatutaki ulaghai wowote utaofanywa na maccm.
Sipendi nionge mengi ila bwana Ham ccm kaa ukijua hao vijana mnaowapata ni mnawapa vijihera vyenu vya EPA na mamilion ya vijana hawataki hata kusikia ccm na wazee mnaowategemea kwenye kura ndio wanazidi kuisha cjui nan atawapigia kura kama labda mtumie wizi wenu wa kura
Ni kweli kabisa mwigulu kwenda marekani haitusaidii mambo ya kijinga msiwe mnatuandikia sisi mtujulisha ili iweje who is mwigulu by the way. Don' tell us those fukin' shits.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.