Recent content by gambosh1972

  1. G

    UTEUZI WA IGP-RAIS AMEVUNJA KATIBA; Hakuna Naibu IGP kwenye Katiba

    Vyeo hivi vya upendeleo siyo vyeo hizi.Sawa ndugu
  2. G

    Afande sele (chadema) kupambana na aziz abood (ccm) ubunge 2015 moro mjini

    Labda itokee.mzee wa arachuga,msuba,ngwaya,stiki au majani akifanikiwa ubunge nina mwaga kimba njia nzima kutoka Dar hadi chalinze kwa jinsi ninavyomfahamu Abood.
  3. G

    world's most dirtiest cities. 16 in Africa including dar es salaam

    Ww FREDAWO acha kutudanganya.mbona kuanzia pale soko la Muthurwa,country bus station ukipita polisi kamukunji zunguka coast bus eneo lote la Ngara na kushuka river road ni pa hovyo sana na hata lile soko la kariokoo maji ya vinyesi yanatiririka hovyo tena juu?Dah Nairobi eneo hilo ni pachafu sana.
  4. G

    Bangi msamvu ni kama chakula.

    Haire haire arachuga,suba,ganja inawaumiza vijana wetu.
  5. G

    Bangi msamvu ni kama chakula.

    Vp ww?Kwa hiyo wanajitibu masikio ktk vijiwe hivyo?
  6. G

    Bangi msamvu ni kama chakula.

    Jamani ni aibu sana hata sijui niseme nini kuiona taifa la kesho likiangamia na madawa ya kulevya aina ya bangi na hata kile kifaa cha bakhresa(sembe) masaa 24 na wala hawabugudhiwi na chombo chochote cha usalama kwa raia.Nashindwa kuelewa mfano polisi wanashindwa vipi kuyatawanya haya makundi...
  7. G

    world's most dirtiest cities. 16 in Africa including dar es salaam

    Hayo mabanda hayaishi binadamu munatuchanganya humu na hayo maji au mifereji utayavuka vipi?
Back
Top Bottom