Recent content by gambosh

  1. gambosh

    Marekani yaiwekea vikwazo Uganda

    Hawa wazungu ni ------- sana.wafirane huko huko.mikundu yao
  2. gambosh

    HEKO TANZANIA: Tanzania assists Kenya to solve jet fuel crisis

    Mm nimeuza mazao sana kenya toka miaka ya 90 hadi leo na faida ninayoipata ni kubwa sana ukilinganisha na hapa nyumbani.
  3. gambosh

    HEKO TANZANIA: Tanzania assists Kenya to solve jet fuel crisis

    Ninawaulizeni hivi mbona likija sawala la kenya na Tanzania ni lazima malumbano?Hivi hakuna hata siku watu wakapongezana vizuri,kwa kuheshimian n.k.Au mababu zetu walinyang'anyana mademu?changieni mada za amani,upendo na hata ya kibiashara.Nazani wote ni wamoja na tunategemeana.musijidanganye...
  4. gambosh

    Barabara ya Ifakara

    Ni ziginari kwa kiswahili ila kiingereza ni signal
  5. gambosh

    Barabara ya Ifakara

    Shukran ila treni hatabiriki.mara ipite mara isionekane majanga ndugu.
  6. gambosh

    Barabara ya Ifakara

    Kilomita 20 kutoka Ifakara na hivi bado wamekwama watu hapo.
  7. gambosh

    Barabara ya Ifakara

    Wilaya ya kilombero mkoa wa morogoro
  8. gambosh

    Barabara ya Ifakara

    Magari ya abiria na mizigo yamekwama ktk eneo la signal kutokana na mvua iliyonyesha jana usiku baada ya mkandarasi kushindwa kusambaza vifusi vilovyomwagwa pembezoni mwa barabara hiyo takriban mwezi sasa hivi.Uongozi wa mkoa ujaribu kumfuatilia huyo mkandarasi maana watumiaji wa barabara hiyo...
  9. gambosh

    EABC waihama Tanzania na kuweka makao Rwanda

    Ninayo heka 100 ukerewe waje niwape.
  10. gambosh

    Watanzania kuleni nyama ya panya ina vitamini adimu mwilini

    Yani ikitokea kula nakunya njia nzima kutoka Dar hadi mwanza.
  11. gambosh

    LRA: Kikundi cha waasi cha Joseph Kony chapata kiongozi mpya [Salim Saleh Kony]

    Ninawaulizeni,kwa nini alipo fika mzungu ktk bara hili kwanza alijenga kanisa,shule na mahkama?
Back
Top Bottom