Usiisahau kuwa kuna neema,maana nguvu hii imetajwa kama maarifa,Mungu anasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa,na maarifa hayo ni hiyo nguvu ya hisia ya sita.
Pia Biblia inasema mnauwezo wa kufanya kila kitu hata kufufua wafu,kuamisha milima nk biblia inatambua nguvu hii km unamwamin...