Vodacom you people are thieves. Bado ninahasira na nyie ... niliweka sh. 10,000 muda wa maongezi, nikatumia sh. 900 ( mia tisa tu ) baada ya siku 2 kucheki salio naambiwa ni sh. 0. Kupiga customer care naambiwa eti ilitumika kwenye data! Ilitumikaje kwenye data wakati cmu yenyewe haina uwezo...
Vodacom ni wezi kweli kweli. ... niliweka muda wa maongezi wa Tsh. 10,000 nikatumi Tsh. 1,800 baada ya siku 2 balance yangu ikawa Tsh. 0. Nilipowauliza nikaambiwa kwamba hela nyingine imetumika kwenye data na internet wakati ninapoishi hakuna access ya internet na simu nime diactivate data and...
Huyu 'Sender: Nipashe' kanitumia hiyo breaking news na karudia kanitumia mara 4..! Mimi sikujiunga na huduma hii na kweli ukijiondoa inagoma, au Vodacom nao wameanza!!
Unapotoa taarifa kama hii, nia na maksudi ni kuwawaonya wenzio kwamba kuna hawa matapeli wasije wakatapeliwa tuache ushabiki, if it happens to you, you would understand how it feels
Kuna hawa jamaa Matapeli wamejitangaza kama Employers kwenye hii website ya 3Wjobs.com kwa kutumia jina la Kampuni moja maarufu inayochimba madini hapa nchini. Kuna nafasi za kazi zimetangazwa pale na utatakiwa kutuma CV yako kwenye hii website na hawa matapeli watajulishwa na hii website...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.