Msaada

Msaada

Joined
Jan 11, 2013
Posts
63
Reaction score
16
Heshima kwetu wakuu;Mimi nataka nunua gar aina ya X TRAIL ya mwaka 2005 kama gar yafamilia vp je aina hii ya gar inafaa naomba ushaur nisije juta jaman.Ahsanten sn.
 
Kama itakuwa kwenye hali nzuri chukua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom