Recent content by Gamba la Chuma

  1. G

    JamiiForums Tanzania Hongera Rais Magufuli kwa kukomesha mgao wa umeme

    Mh Rais anastahili pongezi kukomesha mgao wa umeme.
  2. G

    JamiiForums Tanzania NAJIULIZA TU: Kama alimuonyesha pisto NAPE hadharani, hawezi kufanya hivyo kwa RAIS wetu kipenzi?

    Kwanza hakuna sniper anayetumia bastola. Na ule ubebaji pisto kama novel sikuupenda
  3. G

    JamiiForums Tanzania Hiyo Hasara ya Sasa inaendana na Faida ya Awali

    Suala la kuzuiwa kusafirisha mchanga wa madini nje. Je, hiyo hasara wanayotangaza sasa baada ya kuzuiliwa, inaendana na faida waliyokuwa wanatangaza awali wakati wanaruhusiwa ? Naomba jibu.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Rais Juzi - Mimi sipangiwi cha kufanya. Leo - Nyie kwanini mnamwandika yule mnaniacha mimi?

    Harmorapa aliibuka shujaa. Dogo ana mbio sana yule
  5. G

    JamiiForums Tanzania Wanasheria msikubali TLS ikanajisiwa

    Mbona serikali inaongozwa na CCM na hakuna tatizo. Pia maRAS ma DAS nk ni makada
  6. G

    JamiiForums Tanzania Anaandika kada mkongwe wa CCM kuhusu uamuzi wa Magufuli juu ya Makonda

    Upinzani wanafanya jitihada kubwa kumtetea Bashite. Wanajua mbinu wanazotumia zitapelekea Bashite asichukuliwe hatua
  7. G

    JamiiForums Tanzania Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Tatizo la JF mambo ya msingi na muhimu yanayowagusa mojakwamoja wananchi wanaunganisha topic. Hii ni ngumu kwa wahusika kuona. Mbona hamuunganishi topic za Chadema, au CCM, ikawa ni topic moja, kila habari ya CCM mnatupia humo ? Mambo muhimu ndio mnaunganisha na kupoteza fursa ya utatuzi...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ewe Machali, Huwezi kuamininika na CCM unaposema wapinzani ni matapeli

    Ndio maana Mheshimwa alimkatisha alipoanza bla blah
  9. G

    JamiiForums Tanzania Hudson Kamoga wa Kipindi cha 360 ya Clouds TV ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya

    Hizi nafasi wangekuwa wanawapa watumishi wa umma hasa walimu
  10. G

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM waanza kulalamikia utawala wa Rais Magufuli, wadai hali ngumu ya maisha

    Hujaeleweka kabisa, hoja yako ni nini?
  11. G

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM waanza kulalamikia utawala wa Rais Magufuli, wadai hali ngumu ya maisha

    Hali ni mbaya sana. Serikali iachie fedha kwa kulipa madeni ya wafanyakazi, kupunguza kodi ambazo sasa zinalipwa(zamani zilikwepwa), na ikibidi kuanzisha benki maalum ya wakulima na wajasiriamali
  12. G

    JamiiForums Tanzania Lusinde: Wapinzani wanaoenda kumuona Spika ni wanafiki, wanamchonganisha na Naibu Spika

    Kama tutapata katiba mpya basi ihakikishe mbunge anakuwa angalau kidato cha nne mwenye taaluma fulani
  13. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu okoa jahazi, UDART wameshindwa kuendesha mradi wa mwendo kasi

    Matatizo ya msingi yapo, lakini hayamaanishi kushindwa bali ni changamoto. Yatatuliwe ili kuboresha huduma. Mabasi yamekuwa machache kiasi cha abiria kugombea kupanda, lakini pia ukatishaji tiketi upo slow sana. Lingine la msingi ni LOOPHOLE. Kuna loophole ya mtu kuzunguka na hayo mabasi...
Back
Top Bottom