Aisee ulivyo mtaja Dr Chuhila, imenibidi nicheke. Yule mwamba ni hatari sana, yaani Hana mchezo linapokuja suala la kitaaluma. Bila shaka wewe pia ni mwanafunzi wake, kwani, narrative imeshika haswa.
Sasa wewe, utaratibu wako wa maisha unaengemeza wapi? Labda nikuulize kama ni mwanaume umetahiriwa? Na kama ni ndio umepata wapi huo utaratibu? Kuna mengine mengi kama kuona, kuzikakana, majina tuliyo nayo n.k. yameegemea kwenye dini fulani. Ukisema huamini katika dini unakuwa unatudanganya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.