Recent content by Gamaha

  1. Gamaha

    Naomba watu waliosoma na mbunge anayemaliza muda wake jimbo la Skonge, Joseph Kakunda watupe ukweli wa majina yake

    Sijasoma naye ila namfahamu, bwana Joseph Kakunda. Ni mchumi msomi na ni kichwa kweli kweli ukiondoa uCCM wake
  2. Gamaha

    Chelsea anafungwa, asipofungwa nipigwe ban la mwaka

    Mods mbona huyu mtu hajaliwa kichwa mpaka sasa
  3. Gamaha

    Peugeot 504 kuja kivingine 2026

    daah 504 aisee hii machine enzi zetu
  4. Gamaha

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Nikikumbuka wanazi wa Irani walivyo kuwa wanaisifu hii Irani kama moja ya nchi zenye uwezo kivita kuzidi hata Marekani harafu leo kapigwa kama Tanzania nashangaa. Yaani Israel ameweza kujenga mpaka kiwanda cha drone ndani ya Irani, wanajeshi wa Israeli wana operate ndani ya Irani bila shida. ni...
Back
Top Bottom