kwanza anayemchagua na kumpa zitto uraisi nani? mwanga huyo anayelala kwa sangoma usiku na mchana
mmh! kwahiyo na kujifanya kote anataka kugombea uraisi eti kisa sangoma kamuahidi ushindi?! lol kabwe! labda kama Mungu aliyeziumba mbingu na nchi hayupo utapata huo urais lakn km yupo basi ndoto...
Clous FM? ha! hao ni wazushi tu, kazi yao kusiliza umbea na kuurusha hewani
and I dont think if they are professional na kama wanvyeti basi wamenunua hao.
Clous FM woooooooh,
jirekebisheni.
CHADEMA ipo juu.
hao wanaochafua chama na kutaka kitawanyike anakusiwe na umoja watatawanyika wao, na watashindwa wao sisi tunaojua kuwa CHADEMA Ni mkombozi wa watanzania tunazidi kusonga mbele na tutahakikisha hakuna kitakachozuia ushindi.
Madamu masalia tushawajua na janja yenu tumeijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.