Samahani wakuu nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nimechaguliwa kujiunga na diploma pale MIST kozi ya Mechatronics Engineering.
Sasa naomba nifahamu kuhusu hii kozi inahusika na nini? Vilevile watu wanaosoma hii kozi wanafanya kazi sehemu zipi?
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.