Hawawezi kufanya ivo kwa maana mtu atakuwa akiweka vocha ya mia tano atakuwa anaibania bania,lakini kwa sasa ukiweka hiyo unaongeeeeeeeeeea na sekunde zikiisha unaongeza tena bila hofu, nina hakika hawawezi kuturudisha nyuma.
Mi hata Dk 5 tu sifikishagi lakin huwa namuaandaa sana hata kwa 30 mints anakojoa hata vi3 nikija kupanda nakomaa ndani ya dk4 nakojoa ki1 nae anamalizia cha 4 namwacha yuko hooi
Uongo bana yani kumfanyia mambo yote hayo huku bado hujapiga mzigo haiwezekani, sasa anataka amnyang'anye kwani alilazimishwa kumnunulia au ni mashauzi yake tu
Huwa hawakawii akipewa mzigo cku hiyo hiyo utackia aah yule demu gani maharage ya mbeya maji mara moja tu.......akibaniwa kdg utackia kashfa sasa aah demu gani yule ananata anajiona mzuuuuuri kumbe hakuna lolote kwanza mi pale nilikuwa namtest tu maana nackia huwa anajiuza!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.