Recent content by Galaboy

  1. Galaboy

    Zamani nilikuwa namshangaa mtu aliyefanikiwa kimaisha na hasaidii ndugu zake, Leo mimi natamani hata kuwapiga Risasi

    Kabisa mkuu mi mshua alikufa ndo nipo seven then nikamaliza shule nikafail kuingia sekondari nakumbuka kulikuwa na msiba wa bibi yangu mzaa baba sasa kwenye vikundi vyake wakawa wametoa rambi rambi kama milioni tatu huwezi amini nilipoomba kupelekwa shule baba yangu mkubwa alinambia siwezi...
  2. Galaboy

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Nimesoma Njoss 2011-2013, nimepamiss sana......wanangu wa dom 7 tutambuane Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Galaboy

    Mpenzi wangu hataki tushirikiane kimapenzi hadi tumalize Chuo

    Hahahaa hiki kisa chako kilishanitokea na mimi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Galaboy

    Mpenzi wangu hataki tushirikiane kimapenzi hadi tumalize Chuo

    Mi kuna demu alikuwa ananinyima papuchi nilimtafuna mara moja tu tena kwa mbinde ile unapiga moja fasta anakwambia nawahi nyumbani....sasa siku moja alinipa simu nimfanyie hard reset kasahau password mimi nikaenda nayo home sasa nikakisia password nikapatia kusoma meseji kidogo nizimie kuna...
  5. Galaboy

    Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

    Nilisoma kidato cha 5&6 na wasanii wawili wa gospel na tukawa close Goodluck Gozbert-mwakavuta high school makete na Joel lwaga-njombe secondary school. kiukweli kama Good alikuwa anajuhud sana kulikuwa na mshkaj anajiita barl kiss wa mafionso ndo alikuwa mpinzani wake na jamaa alikuwa na kipaji...
  6. Galaboy

    Kuna Taasisi za Serikali ukiajiriwa ni kama umejisajili kuwa maskini milele

    Hao ni wale unakuta anasaidia kwao ila hakuna idara ni rahisi kuwa tajiri kama idara ya elimu coz unapata muda wa kufanya mambo yako. Mi kuna walimu nikikutajia hapa wana ukwasi wa bei mbaya waliinvest kwenye mambo mengine ila ukitegemea mshahara ukutoe utakufa maskini Sent using Jamii Forums...
Back
Top Bottom