Recent content by Gakon

  1. G

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuoa lakini vituko vya mke vikakufanya uingie kwenye tabia hatarishi

    Shida unaogopa kumuacha kuchukua mwingine,,pombe kunywa kwa burudani yako sio mpaka usababishiwe
  2. G

    JamiiForums Tanzania Sisi ambao tuna amini uwepo wa Mungu Tumewazidi vitu gani ambao hawaamini kabisa uwepo wa Mungu?

    DIni zimeweza sana kushikilia watu,,mtu akifaulu kusoma historia hasahasa ya dini basi ataona hii ishu kwa undani wake.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Sisi ambao tuna amini uwepo wa Mungu Tumewazidi vitu gani ambao hawaamini kabisa uwepo wa Mungu?

    Hii inafikirisha sana,,Leo muafrika hawezi kumheshimu muafrika mwenzie kisa dini za wageni ambazo kiundani ndo zimefanya kazi kubwa ya kutufanya watumwa wazuri.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Moyo unaniuma sana, nahisi nitapata ugonjwa wa moyo. Nimekata tamaa ya maisha, natamani Mungu anichukue

    Wewe bado hujakata tamaa,,,waliokata tamaa hawasubiri mpaka mungu awachukue
  5. G

    JamiiForums Tanzania Ukweli Kuhusu Kuhisi Nyege

    Nyege is the force of life,, No nyege no life
  6. G

    JamiiForums Tanzania Angalia jinsi CCM wanavyochezea hela zetu hapa lazima deni la taifa lifike trilion 107

    Kwa trend iliyopo,Tz haitokuja kupata maendeleo ya kweli,,nchi imejaa watu ambao ukisikia wanavyofanya mambo unajiuliza kama Wana ubongo ndani ya mafuvu yao au pengine mafuvu ndani ni matupu😅🚮
  7. G

    JamiiForums Tanzania Kwa kuwa tumeshindwa kudhibiti rushwa na ufisadi basi serikali ifundishe mashuleni namna bora ya kula na kutoa rushwa. Pia ifundishe namna kufisadi

    Ukicheki trend ilivyo unawaonea huruma watu wa pan Africanism ,maana Africa inajiua yenyewe zaidi kuliko inavyouliwa na wageni
  8. G

    JamiiForums Tanzania Nini kusudio la Mwenye enzi Mungu kuwapa viumbe wake uzao usio kikomo?

    Vyote vinavyoweza kuzaliana, hufa baadaye
  9. G

    JamiiForums Tanzania Kuna design wife kama anafanya mambo ya hovyo hivi au na wake zenu pia wapo hivo

    😅😅Leave alone mama yake,,,if there is one person deserving your love then it's your own f**king self
  10. G

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kinachowaliza WANANDOA siku ya harusi?

    😅😅 Because they understand the trouble they are getting themselves into
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mwenyezi Mungu, nifanye lipi ili ujibu ombi langu, niwe vipi ili unitue mzigo huu? Mbona ni kama umenifumbia macho hunioni

    You'll be freed when you accept that your life is all on you,,no God or prophet shall save you
  12. G

    JamiiForums Tanzania Samia AFCON City kuoamba Jiji la Arusha

    I think ifike hatua tumuache samia apumzike,,mnavyomtaja kila sehemu imefikia hatua sasa watu wanakerwa nae zaidi kuliko kumkubali Kama inavyodhaniwa
  13. G

    JamiiForums Tanzania Serengeti Lager tunaomba logo ya zamani

    [emoji23][emoji23][emoji23]muhimu mnoooo
  14. G

    JamiiForums Tanzania Je, jehanamu ziwa la moto na adhabu za huko ni za milele au sio za milele?

    heaven & hell are just states of mind
Back
Top Bottom