Recent content by gajjah

  1. G

    Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

    Huwa wanatoa mwez was pili pia nw police; magereza; tanapa n.k lazma upite jkt ndpo uende sehem hucka kwa kuchaguliwa..
  2. G

    Nguruwe wa Mbegu

    Nguruwe wa mbegu kwajili ya uzalishaji wanauzwa wapo wawili name hali zao safi , wana rangi nyeusi. kwa mawasiliano 0653634503 au 0764363056 wanapatikana dar tegeta.
  3. G

    Msaada ndugu,jamaa na marafiki

    Nimegoogle ndugu lakin cjapata kufaham mana naona form za degree kuapply namelezo kidog ambayo hayajanitosha kujua kiundan zaid # Pritty
  4. G

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Nimependa mawazo na mtazamo ya kibiashara kijumla .. Hata me huwa nafkr meng sana juu ya kujiajir lakin mtaji ndyo tatizo kuna biashara nying nafikiria lakin pesa tatizo lakn namin ipo cku ntakuwa na biashara zangu kwasasa naendesha biashara za watu yan vitu ambavyo nafkr kufanya nmempa mtu idea...
  5. G

    Msaada ndugu,jamaa na marafiki

    Nataka kujua kuhusu KAPADIA EDUCATION FOUNDATION inakuwaje jinsi ya application Zao kwa aliye wahi kupitia au anafaham anijuze ..Mana naitaji kuendelea na Elimu ya juu nilimaliza ngazi ya Cheti Nilichukua Utawala wa biashara naitaji msaada wana jf.. 0653634503 mwaweza nitafuta kupitia kwa...
  6. G

    Natafuta nguruwe wadogo mtu anae wauza anitafute

    Natafuta nguruwe wadogo kwa mtu anae wauza au anjua wapi wanapatikana anitafute kwa namba 0768896293 au 0653634503 nipo dar es salaam kijitonyama
  7. G

    Msada wadau natafuta kazi

    Me nikijana mwenye umri wa miaka 22, natafuta kazi yoyote ili nipate kipato niweze kilipa ada yangu ya chuo nipate cheti na niweze kuendelea na Diploma nimesimama kutokana na kutokuwa na pesa....nisaidieni wadau mana nimeangaika kutafuta kazi laki sifanikiwi, nimesoma Business Administration...
  8. G

    Natafuta kadi ya pesa

    ok nicheki 0653634503/0768896293 kama kweli unaitaji unaweza kuni :A S-alert1: kupitia namba hizo
  9. G

    Majibu ya PCCB

    Nikuwa mvumilivu tu :peace::peace::peace::peace::peace::peace:
  10. G

    Angalia nafasi mpya ya kazi kutoka KCB bank

    Wasituongoopeee haoo hakuna ajiraaa hapo :tape::tape:
  11. G

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    Na mwezi wa6 nasikia wanachukua hawamu nyingine ya jkt nkweli tujuzane kwa ambae anafaham
  12. G

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    Wadau niaje natumai mpo pouwer , sasa hao jkt si washaenda kuripoti kambini kuanzia tar3 nmeona kuna mdau anasema karibuni wanaenda kuripoti? na uhamiaji vp mana tumeomba watu lakini hatujua huwa wanatumia mda gani kuanza usaili na kuwapeleka watu kambini...
  13. G

    Msaada Mfanyakazi wa ndani

    mmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhh utakujaaa kuibiwaaaaaaaaaaaa
Back
Top Bottom