Recent content by Gai da seboga

  1. Gai da seboga

    Uliza chochote kuhusu Passport na Namba ya NIDA

    Nataka pasiport ila wazaz wote wamefariki hapo kwny document za wazaz hapatakuwa na shida??
  2. Gai da seboga

    Mwalimu wa Shule ya Sekondari Makumbusho (Dar) afukuzwa kwa kosa la kutoa adhabu kali kwa Mwanafunzi

    Hakuna mwalim mkuu anaweza kumfukuzisha Mwalimu kazi, mwalim mkuu sio Mwajiri. Labda huyo Mwalimu alikuwa anajitolea hapo...
  3. Gai da seboga

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Msingi huo nilokueleza naweza stahimili kukaa miaka mingap kuweza pandisha boma?
  4. Gai da seboga

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    1. Hv nikiwa nmepiga msingi wa mawe na mikanda wa zege ya kokoto na nimelaza nondo moja. Msingi wa namna Hii naweza kaa miaka ata miwili kisha nikapandisha boma? 2. Kuna faida gan baada ya kupiga msingi kujaza kifusi ndan yake,!
  5. Gai da seboga

    Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Ila huwez kufananisha na asilimia 16 za benk nyinginezo
  6. Gai da seboga

    Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    N kwel mikopo sio mizur, lakini watu wanaingia kwny mikopo sio kwa kupenda kutokana na changamoto ulonazo, na ndioman mm nlpoona huu hauna riba nikaukimbiliaa speed
  7. Gai da seboga

    Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Ulicho sema n sahihi ckupingi, na mimi n mmoja wa waliopata kimuujiza japo sio yote niloomba sasa hili la kuchelewa ndio linazd nitia stress...
  8. Gai da seboga

    Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Kwahiyo kuomba mkopo watu Wakae mwaka mzima? Iweje hao nmb, crdb Hawazidi ata sku tatu ishindwe hazina kuu! C n jambo la kugusa batani... Ndiomana nkahoji hapa huku kuchelewa n Halmashauri zote, au n huyu hro wetu amedhamiria kutufanyia roho mbaya
  9. Gai da seboga

    Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Hakuna jibu kwa hro zaidi ya maneno ya shombo Ego, nngepata jibu la kueleweka nisingekuja uliza hapa,,,, na kuulza hapa nmeamin n sehem naweza pata waliowahi kupata hii mikopo wa kanipa ABC
  10. Gai da seboga

    Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Wasalam mabibi na mababu, Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, Toka mwezi March tarehe 24 kulitoka tangazo la mikopo ya Hazina isiyo na Riba kwa watumishi takriban Halmashauri Nyingi Tu Nchini, Dirisha la kuomba kupitia Hazina Portal liliwekwa mpaka Tarehe 5 April. Baada ya hapo kukawa na...
  11. Gai da seboga

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Jaman bado tu naona dakika za jioniiii kabisa....
  12. Gai da seboga

    Kauli Mbiu ya Mei Mosi mwaka huu 2025 ni Fumbo kwa Rais

    Wasalam Mabibi Na Mababu! Bila kupoteza muda Kauli mbiu ya Mei Mosi-2025 ni; ''Uchaguzi mkuu 2025, utuletee viongozi wanaojali haki na maslahi ya wafanyakazi, sote tushiriki.'' Nadhani Mheshimiwa Raisi anahitaji mtaalamu wa fasihi na lugha aweze kumfumbulia hili Fumbo. Nachoona wafanyakazi...
  13. Gai da seboga

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Daah kitaeleweka kweli leo au ndo tusubirie Jnne
Back
Top Bottom