1. Hv nikiwa nmepiga msingi wa mawe na mikanda wa zege ya kokoto na nimelaza nondo moja. Msingi wa namna Hii naweza kaa miaka ata miwili kisha nikapandisha boma?
2. Kuna faida gan baada ya kupiga msingi kujaza kifusi ndan yake,!
N kwel mikopo sio mizur, lakini watu wanaingia kwny mikopo sio kwa kupenda kutokana na changamoto ulonazo, na ndioman mm nlpoona huu hauna riba nikaukimbiliaa speed
Kwahiyo kuomba mkopo watu Wakae mwaka mzima? Iweje hao nmb, crdb Hawazidi ata sku tatu ishindwe hazina kuu! C n jambo la kugusa batani... Ndiomana nkahoji hapa huku kuchelewa n Halmashauri zote, au n huyu hro wetu amedhamiria kutufanyia roho mbaya
Hakuna jibu kwa hro zaidi ya maneno ya shombo Ego, nngepata jibu la kueleweka nisingekuja uliza hapa,,,, na kuulza hapa nmeamin n sehem naweza pata waliowahi kupata hii mikopo wa kanipa ABC
Wasalam mabibi na mababu,
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, Toka mwezi March tarehe 24 kulitoka tangazo la mikopo ya Hazina isiyo na Riba kwa watumishi takriban Halmashauri Nyingi Tu Nchini, Dirisha la kuomba kupitia Hazina Portal liliwekwa mpaka Tarehe 5 April. Baada ya hapo kukawa na...
Wasalam Mabibi Na Mababu!
Bila kupoteza muda Kauli mbiu ya Mei Mosi-2025 ni;
''Uchaguzi mkuu 2025, utuletee viongozi wanaojali haki na maslahi ya wafanyakazi, sote tushiriki.''
Nadhani Mheshimiwa Raisi anahitaji mtaalamu wa fasihi na lugha aweze kumfumbulia hili Fumbo.
Nachoona wafanyakazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.