Nenda halmashauri ukaangalie mpango wa matumizi ya ardhi kwenye hilo eneo ulikuwepo toka lini. Ukikuta tayari kulikuwa na mpango huo kabla hujanunua, basi mkabe koo aliyekuuzia.
Sio kwamba wana haki, bali ni maelekezo ya sheria askari kumwambia mshukiwa sababu za kukamatwa kwake. Na si lazima Polisi mkamataji akaondoka na mshukiwa wake, Polisi anaweza kutangulia, mshukiwa akamfuata mwenyewe kituoni.
NIni kimetokea kwenye familia ya Sokoine hadi selikali nzima iende kuazimisha kumbukumbu ya kifo chake. Nani anayemuenzi sokoine hata kwa mawazo tu. Tusaidizane, nini kimetokea mwaka huu.
Wewe unayejua, bado hujui kuwa Syria inakaliwa na makundi kibao ikiwamo makundi ambayo yana ugomvi na Israel. Uliwahi kusikia katika kujua kwako, Ikulu ya Assad imeshambuliwa na makombora ya Israel au US? Hao mabasha wako Israel wamewahi kushambulia iliko mifumo ya S-400 huko Syria. Usijifanye...
Hiyo Blackbird ambayo ilikuwa na speed kuliko misile kipindi hicho ilifanya mission ipi successfully? Mandege yote hayo yanabakia na sifa za kwenye makaratasi tu. Hata huzo F-16 wanaogopa kuzipeleka Ukraine. Wanazo 800 si wampe hata tano tu Ukraine akamalize kazi kama zina uwezo huo wanaosifia...
Umeambiwa kabisa "in accordance with international law" bado unabwabwaja. Na Iran sio kwamba hawakuiona, waliiona na wakastuka. Hata unachokiandika mwenyewe hukielewi. Kutetea upinde ni changamoto sana.
Na mchungaji huyo ndo wewe mwenyewe, muadventista maskini, unayejaribu kujustify umaskini wako kwa kuwapa lawama wakatoliki kuwa kwa wao kuabudu sanamu, Mungu anakulaani wewe unakosa hela ya kula.
Ulishawahi kuona sehemu wakatoliki wameweka sanamu wanaliita Mungu na kuliabudu kama Mungu wao...
Ulitegemea BBC, SKYNEWS au CNN walete hiyo habari? Hivi unajua proganda dhidi ya Urusi inavyopigwa na Western tangu miaka hiyo, au unaropoka tu. Soma walau riwaya cha Vuta Nkuvute, walau uone namna gani Urusi imekuwa ikipigwa vita miaka yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.